Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

Pata 4GB Za Internet Wiki Nzima Kwa 3000/= Tu.

2000 mkuu napata voda GB 5 kwa mwezi mzima hapo vipi mkuu buku na mb zangu 100 unapeleka wapi?
Mkuu siyo wote wenye uwezo Wa kupata hizo GB. Kama wewe unauwezo ngoja sisi tugawane hiki kidogo
 
Mkuu siyo wote wenye uwezo Wa kupata hizo GB. Kama wewe unauwezo ngoja sisi tugawane hiki kidogo
Hapana ni kwa wote na ndo maaana nikaweka na namna ya kujiunga narudia tena hii hapa namna ya kujiunga *149*03# kwa ofa kubwa kubwa kwa bei rahisi haya KAAAAAZI KWENU WAKUU KWA WANAOTAKA YA UNI HII HAPA
*149*42# ila kwa hii ya uni lazima uwe na line za uni za voda kuipata nenda voda shop yoyote utatozwa 1000/= tu na namba yako itasajiliwa kama ya uni ....
 
Acha uongo wa saa nane hii jua kali.
Hiyo haipo kwa Mtandao wa Voda. Labda mitandano mingine.
Haya sasa nakupa na hii namba jaribu kwa voda yako mkuu utaleta mrejesho hii hapa
*149*03# kisha chagua ofa unayoitaka ila USISAHAU KULETA MREJESHO
 
Mtandao wa voda umekuwa rahisi kuchakachuliwa...shida nn au mishahara midogo?
 
Hapana ni kwa wote na ndo maaana nikaweka na namna ya kujiunga narudia tena hii hapa namna ya kujiunga *149*03# kwa ofa kubwa kubwa kwa bei rahisi haya KAAAAAZI KWENU WAKUU KWA WANAOTAKA YA UNI HII HAPA
*149*42# ila kwa hii ya uni lazima uwe na line za uni za voda kuipata nenda voda shop yoyote utatozwa 1000/= tu na namba yako itasajiliwa kama ya uni ....
Hivi mkuu kama 5 GB zingepatikana kizembe hivyo kuna MTU angelalamikia vyuma kukaza???? Hyo ni ofa yako( just for you offer). Zinatofautiana kwa wateja.

Mimi bnafsi napata 1gb kwa sikuv15 Kwa sh 1000 kupitia hyo ofa. Wengne wanapata mb 200 tu.

Haiwezi kuwa rahisi kiasi hicho
 
Hivi mkuu kama 5 GB zingepatikana kizembe hivyo kuna MTU angelalamikia vyuma kukaza???? Hyo ni ofa yako( just for you offer). Zinatofautiana kwa wateja.

Mimi bnafsi napata 1gb kwa sikuv15 Kwa sh 1000 kupitia hyo ofa. Wengne wanapata mb 200 tu.

Haiwezi kuwa rahisi kiasi hicho
Mkuu nimejaribu kwa line zaidi ya moja ya voda
 
Mkuu nimejaribu kwa line zaidi ya moja ya voda
Sio line zote wanapata hivyo mfano mimi napata hivi
Screenshot_20180103-142116.png
 
Hapana ni kwa wote na ndo maaana nikaweka na namna ya kujiunga narudia tena hii hapa namna ya kujiunga *149*03# kwa ofa kubwa kubwa kwa bei rahisi haya KAAAAAZI KWENU WAKUU KWA WANAOTAKA YA UNI HII HAPA
*149*42# ila kwa hii ya uni lazima uwe na line za uni za voda kuipata nenda voda shop yoyote utatozwa 1000/= tu na namba yako itasajiliwa kama ya uni ....

Acha ubishi ww sio wote wanaopata 5gb kuna wengine wanapata 3gb(tena kwa siku tano) wengine 1.5gb......inategemea na zari la mtu.....hiyo offer inaitwa "Ya kwako Tu"
 
Mtandao wa voda umekuwa rahisi kuchakachuliwa...shida nn au mishahara midogo?
Mkuu siyo rahisi kuchakachua. Kama umesoma vizuri post yangu utaelewa nnachomaanisha. Nini Airtime yakutosha so cna pakuipeleka zaidi ya kuuunga vifurushi tuu
 
Back
Top Bottom