Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,472
- 21,953
Mchungaji John Mwangi wa Kanisa la Ufufuo huko Githurai, Kenya ametoa msimamo wake kuwa yeye, kama mtumishi wa Mungu hawezi kutembea kwa mguu kwenye ardhi ya dhambi hivyo atakuwa anabebwa daima na wafuasi wake kila ajapo kanisani kufanya ibada mpaka pale watakapo mnunulia gari Prado VXL 3500 cc
Watu wanapoa kwa kushindwa kuwabaini watumishi wa kweli na wale watumishi wa matapeli.
Chanzo cha habari ni One Kenya TV.
Watu wanapoa kwa kushindwa kuwabaini watumishi wa kweli na wale watumishi wa matapeli.
Chanzo cha habari ni One Kenya TV.