Password

George Lugwani

New Member
May 2, 2012
1
0
HODI, HODI, HODI !
Naingia, nauliza namna ya kurudisha 'password' ya 'memory card' ya simu. Natumia Nokia 6303.
AHSANTENI
 
Mkuu, karibu sana. ila hilo swali lako ungepeleka jukwaa la sayansi na tekinolojia, huko wajuzi wa tekinolojia wanatembelea mara kwa mara.
 
Karibu jamvini. Utapata unachokitaka Mkuu. Subiri kidogo tu.
 
Back
Top Bottom