Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,144
We ni mwanaume tena uliyejiweka wazi kwake tumia nafasi ya uanaume wako kumuambia yafuatayo kwa busara:"Mpenzi kwa nini unakosaa uhuru kwenye simu yako?" akikana muulize mbona password zimezidi kwenye simu yako? Unamalizia na kusema hivi basi nitolee hizo password ili niachane na doubt alafu kaza moyo uikague kila kitu maana inaonesha kuna uwepo wa ex wake usije kuta hata mimba sio yako kwa hiyo ex wake anafuatilia maendeleo ya mimba.Narudia tena kagua simu yake hata kwa lazima kwa sababu huyo ni mkeo mambo u private ya nini ila kama hutaki kufanya nilichokuambia jiandae na kukosa amani ya moyo atakutoa confidence zote kwa hiyo doubt uliyonayo kwake LIWALO NA LIWE kuliko kujijibu maswali wakati marking scheem anayo mkeo.