Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Kuna kitu kinaitwa 'personal space' inabidi kila mtu awe nayo kama uhuru na simu yake bila bugudha na mawasiliano binafsi kama e-mail na inabidi mwenzake aheshimu hivi.
Nakubaliana na wewe kwamba mtu anahitaji kujihisi ana uhuru na baadhi ya vitu na hakuna spying. Ila nachukia tabia ya kuwekeana embargo! Unakuta mtu anamwambia mke wake kuwa, "siku ukishika simu yangu nitakunyonga" na mengine ya namna hiyo. Ki ukweli yanaleta mashaka zaidi badala ya kuzidisha imani na heshima kwenye mahusiano!