bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
msimamo wangu juu ya P /W....linapokuja swala la password ,sijui nini..kwanza kwa mie Binafsi sijihusishi na simu wala emails zake na wala hatanisikia hata siku moja eti sweet naomba password yako ya nini?Kwa hiyo basi yangu pia haimuhusu..
Labda tufungue email ya pamoja kama anahitaji sana ushirikiano
unaogopa nn besti????