Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

wakuu kwema?
samahani naomba kuulizia,nimepata kazi mpya mahali flani na mwajiri wangu mpya kaniagiza niandae passport yangu ya kusafiria ili after two weeks nitaelekea Nairobi kwa ajili ya training.na mimi hapa nilipo sina mkwanja wa kupata passport mpya kwa sasa.
so nilikua naomba kujua nikipata Ile passport ya temporary permit, pale uwanja wa ndege wataniruhusu kweli kuingia Kenya au ntazuiwa?
 
Mkuu emergency passport ipo ila niliwahi itumia pale mpakani Namanga.Sijajua kwa airport
 
inaruhusiwa kukatiza nayo airport hiyo mkuu?
Hyo n shida aisee hata ile ya
Mwaka mmoja cjui kama
Inakubaliwa airport maana
N ya karatas na kama
Unaenda kuafanya kaz ofisn


Ujue lazma uwe na hii ya kitabu
Maana Nairobi co mchezo
Bila id office unabak ukikodolea
Macho tu utashangaa
Umekua watchman kw get
 
Kudadek kenya bla id
N stress tupu
Ukamatwe tu na mgambo wa jj au hawa wanajesh/maaskar
Wa patrol mjin/mtaan kitu
Cha kwanza n id aiseee kama
Huna ww shuhuli unayo

Uswe na chin ya 2000ksh kwa
Mfuko ili ujitetee nayo
 
Kudadek kenya bla id
N stress tupu
Ukamatwe tu na mgambo wa jj au hawa wanajesh/maaskar
Wa patrol mjin/mtaan kitu
Cha kwanza n id aiseee kama
Huna ww shuhuli unayo

Uswe na chin ya 2000ksh kwa
Mfuko ili ujitetee nayo
mkuu me naenda just for training
 
Kuna passport za East Africa kwa nini usichukue ya aina hiyo? Au kwa nini usiombe ofisi ikakukopesha hela ya passport wakukate kwenye mshahara wako upate passport ile ya kijani.
 
Na mimi nahitaji passport haraka nipo Dar kwa atakayenisaidia kunipa utaratibu wa faster nicheki
0716 282670..
 
Habari Ndugu,
Naamini kila nchi huwa kuna utaratibu wake wa kutoa HATI ZA KUSAFIRIA.

Binafsi sina HATI YA KUSAFIRIA,
Lakini nasikia taratibu zake huwa ziko makini sana,na naamini hii ni katika kuepuka kuwapa HATI YA KUSAFIRIA watu ambao hawastahiki.

Naomba msaada wenu.....

Ni sifa zipi anatakiwa mtu awe nazo ili aweze kuwa raia wa TANZANIA!?

Na akishakuwa na hizo sifa za URAIA naamini huwa ana HAKI YA KUPIGA KURA akiwa amekidhi vigezo vya kupiga kura!

Na kama ana sifa za URAIA je ana haki ya kupewa HATI YA KUSAFIRIA!?

Na kama hana vigezo vya kupewa HATI YA KUSAFIRIA anawezaje kubaki na HAKI YA KUPIGA KURA( kama alikuwa nayo)pamoja na HAKI NYINGINE (kama alikuwa nazo)
 
Habari Ndugu,
Naamini kila nchi huwa kuna utaratibu wake wa kutoa HATI ZA KUSAFIRIA.

Binafsi sina HATI YA KUSAFIRIA,
Lakini nasikia taratibu zake huwa ziko makini sana,na naamini hii ni katika kuepuka kuwapa HATI YA KUSAFIRIA watu ambao hawastahiki.

Naomba msaada wenu.....

Ni sifa zipi anatakiwa mtu awe nazo ili aweze kuwa raia wa TANZANIA!?

Na akishakuwa na hizo sifa za URAIA naamini huwa ana HAKI YA KUPIGA KURA akiwa amekidhi vigezo vya kupiga kura!

Na kama ana sifa za URAIA je ana haki ya kupewa HATI YA KUSAFIRIA!?

Na kama hana vigezo vya kupewa HATI YA KUSAFIRIA anawezaje kubaki na HAKI YA KUPIGA KURA( kama alikuwa nayo)pamoja na HAKI NYINGINE (kama alikuwa nazo)
Habari yako ina kichwa cha Kuku ilhali mwili ni wa Pweza.
 
Sifa kubwa ya kupata passport ni lazima uwe msafiri kwanza , wasafiri wamegawanyika ktk makundi 4 au 5 na kila kundi linaitaji supportive documents kulingana na sifa la kundi usika lakini kuna documents ambazo ni common kwa kila kundi (cheti cha kuzaliwa, cha kwako na mzazi/Wazazi ).Makundi yenyewe ni

1.Kikazi
Hapa utaitajika uwe na barua kutoka kwa mwajili ikikutambulisha safari yako ya kikazi.

2.Biashara
Hapa utapaswa kuonyesha leseni ya biashara etc

3.Matibabu
Barua ya daktari ikionyesha/recommend ukatibiwe nje ya nchi

4.Michezo
Hapa kupo wazi kabisa, barua kutoka kwenye shirikisho la michezo

5.Matembezi
Barua ya mwaliko ya unayemtembelea

Note:
Passport (hati ya kusafiria)sio haki ya kila mtanzania kwakuwa sio watanzania wote ni wasafiri ,ila kitambulisho cha urahia ni haki kwa kila mtanzania.
Kinacholeta shida kupata hati ya kusafiri ni kukosa supportive documents, mtu anataka kusafiri kwenda nje ya nchi hajui anaenda kufanya nini, hatafikia wapi , etc kudhibiti hali iyo ndio vikawekwa vigezo hivyo hapo juu.
Nipo tayari kukosolewa.
 
Sifa kubwa ya kupata passport ni lazima uwe msafiri kwanza , wasafiri wamegawanyika ktk makundi 4 au 5 na kila kundi linaitaji supportive documents kulingana na sifa la kundi usika lakini kuna documents ambazo ni common kwa kila kundi (cheti cha kuzaliwa, cha kwako na mzazi/Wazazi ).Makundi yenyewe ni

1.Kikazi
Hapa utaitajika uwe na barua kutoka kwa mwajili ikikutambulisha safari yako ya kikazi.

2.Biashara
Hapa utapaswa kuonyesha leseni ya biashara etc

3.Matibabu
Barua ya daktari ikionyesha/recommend ukatibiwe nje ya nchi

4.Michezo
Hapa kupo wazi kabisa, barua kutoka kwenye shirikisho la michezo

5.Matembezi
Barua ya mwaliko ya unayemtembelea

Note:
Passport (hati ya kusafiria)sio haki ya kila mtanzania kwakuwa sio watanzania wote ni wasafiri ,ila kitambulisho cha urahia ni haki kwa kila mtanzania.
Kinacholeta shida kupata hati ya kusafiri ni kukosa supportive documents, mtu anataka kusafiri kwenda nje ya nchi hajui anaenda kufanya nini, hatafikia wapi , etc kudhibiti hali iyo ndio vikawekwa vigezo hivyo hapo juu.
Nipo tayari kukosolewa.
Mkuu sijakupata maana naona kama unachanganya na VISA.

Vipi kama MTANZANIA kaumwa na ikatakiwa haraka kesho apelekwe nje kutibiwa kama alikuwa hana PASSPORT tayari huoni kama inaweza kuwa shida

Ni mawazo yangu kuwa WANATOA PASSPORT bila kutaka kujua sababu kabla labda kama utaihitaji kwa haraka sana ndo itabidi uwape sababu za uharaka huo

Na pia naamini ni haki ya kila MTANZANIA kuwa na PASSPORT kwa maana una haki ya kusafiri kwenda kokote ( ulipokubaliwa na nchi wenyeji) kama huvunji sheria za nchi katika kutaka kusafiri kwako na hapo unaweza kuzuiwa na wanausalama wetu kuwa usisafiri lakini kuwa na PASSPORT naamini ni haki

Nipo tayari kueleweshwa zaidi....
 
Back
Top Bottom