emmadizzo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,501
- 1,679
Pascal ni mtu mzima yani 50+ alafu mshana Jr ni kijana flani yani 35+ kwaio tofauti kubwa inaanza apo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona imenirudishaUmesharudi masomoni
We unahisi watu hawana shughuli nyingine za kufanya zaidi ya kuandika humu jf mkuu.Kuandika jf sio full time job hasa kwa wenye id fake.@MziziMkavu siku hizi amna kitu, kafulia haonekani jukwaani
Huwezi mlinganisha na Mshanajr huyu anayemkalisha pia pascal Mayala
Sent using Jamii Forums mobile app
Anandika na uongo pia hana aibu.Jamaa ni Mult-talented. Anaandika mambo ya ushirikina,ulozi na dini. Pia kwenye siasa na soka hayupo nyuma. Ila alichemka mbaya kutabiri mechi ya Yanga na Simba ya tar.8
Sent using Jamii Forums mobile app
HajajipangaKwa hiyo unawapambanisha kwenye nini haswa?
Mtu ambaye ana nyuzi nyingi?
Mtu ambaye nyuzi zake zinasomwa sana?
Mtu ambaye anapenda kufungua nyuzi tuu?
Mtu ambaye anaongoza kwa kupest nyuzi zake kwenye nyuzi za wenzake.?
Mtu ambaye anaongoza kwa kutumia emoji sana?
Mtu ambaye ana kitambi kumzidi mwenzake?
Kuwa wazi tujue.



Wapi Msalani ndugu?!Pascal Mayalla ni mmoja wa anayetumia kalamu yake kuishi though naye tutampoteza any day maana anaguza nyeti za wadosi.
Mshana Jr ni like nabii ambao Corona imewaumbua, he is there sasa kaanza kusoma vidole, ni kama wateja wamepungua sana as everyone kajifungia kwake.
Nani ni zaidi ,
Namtaja Mshana Jr ni zaidi sana maana alishasema alimtia dead person,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja amebase kwenye siasa mwingine amebase kwenye uchawi, always mchawi anashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumbuka UKAWA vs CCM,nakupa hii 'LIKE'Siku nyingine andaa pambano kati ya Mshanajr na MziziMkavu.
Kura yangu imeharibika
Sent using Jamii Forums mobile app