Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

Na Mshana ana uwezo wa kushawishi. Pia si MWANA CCM.
ni kweli kabisa, Mshana hayupo Chama Tawala
ila Pascal mara nyingi anajionesha yuko CCM dhahiri shairi
kwa wote nawasifu wamejitofautisha kabisa na sisi Member wengi 90% tuna ID FAKE
hawa watu wawili wao ni Verified user kwa hiyo walisemalo kwa wamelichuja 100%
ndio maana kwenye malumbano Matusi au ubishani usio na maana hukimbia
 
Binafsi ntawaamgalia kila mmoja kwa muktadha wa malengo ya post zao alafu ndio nitaconclude nani zaizi......

Nianze na bwana Pascal Mayalla (njaa)...
Huyu post karibia zote ni zile za kutaka mamlaka waone ni mtetezi wa serikali/rais mitandaoni. Lengo kuu likiwa kutafuta teuzi a.k.a mjini njaa saaizi, ila kiuhalisia na nnavomfahamu Mayalla ni mtu ambaye haungi mkono serikali wala rais.....

Nakuja kwa bwana Mshana Jr.....
Huyu amejikita kwenye logical arguments na haonyeshi hata chembe ya kutaka kundi fulani limuonee huruma. Nadhani ni mtu sahihi zaidi maana hawezi nyeusi akaiita nyeupe.....

Conclusion: kwa kuangalia maslahi ya serikali basi Pascal Mayalla ni zaidi lkn kwa kuangalia maslahi ya wananchi na uthubutu wa kuleta changamoto hata kwa vijana wanaochipukia Basi MASHAN Jr anapata 100% kutoka kwangu....

NI HAYO TU KWA LEO....
 
Back
Top Bottom