Pascal Mayalla V/S MshanaJr nani zaidi?

[emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]thanks bro for a wonderful comment...
Much respect kwa pascal ni mmojawapo aliye ni inspire kujiunga JF.. Bila kumsahau Elli Mshana
paskal popote ulipo you have my big respect hasa kwenye ule uzi wako wa meditation..
Elitwege my longtime hater umenifanya kuwa bora zaidi na zaidi kwakuwa so negative kwenye post zangu... So I adore your guts of hatred... You made me practice my wisdom of torelance and be extra careful...
Kwa wengine wote asanteni sana.. Bila nyie nisingekuwa mimi.. Hasa wale haters..
Let love lead... Am humbled... You have my much much respect! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123]
Mchawi na tapeli (mshana )vs Mayalla( mwandishi nguli)

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Mkuu wote ni zaidi
Kila mmoja ana mchango wake kwa JF
Inaweza kuwa mada tofauti maono tofauti lakini wote ni sawa tu
Mada zao zinaelimisha zinachangamsha zinafikirisha zinatuchanganya ZAIDI Zinatufanya tusiache kupitia JF kila siku

Cc: Mshana Jr Pascal Mayalla
 
Hahahaha Amen Bro! Thanks. Huyu Elitwege ni dekio la kijani! She knows me well, huwa simkopeshi
 
Huwa sipendagi sana kusoma nyuzi za hao jamaa uliowaweka, ungenambia Habibu Anga ningekuunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…