Namjua pengine kuliko wewe alipendwa sana alipomuuliza swali nduli pale ikulu akaitwa njaa na alipoenda kuhojiwa na Kamati ya bunge ila aliposifiwa tembo akalitia maji.
Kumbe juzi Tu hapo,

Nikajua unamjua tangu akiwa mwanafunzi wa Darasa la Prof Shivj

Au wakati wa Dar es salaam Television

Au wakati akimhoji waziri wa fedha mheshimiwa Yona

Kumbe umemjua juzi Tu,

Sio kosa lako, endelea kuwaza unachokiwaza
 
Kumbe juzi Tu hapo,

Nikajua unamjua tangu akiwa mwanafunzi wa Darasa la Prof Shivj

Au wakati wa Dar es salaam Television

Au wakati akimhoji waziri wa fedha mheshimiwa Yona

Kumbe umemjua juzi Tu,

Sio kosa lako, endelea kuwaza unachokiwaza
Mimi sio wa aina yako hayo unayoyaeleza pasko anayasema humu kila siku mpaka usalama wa taifa wa wazazi wake ameuweka wazi humu!
 
kwenye bandiko lake sijaona sehemu anaomba mchango wa hela isipokuwa anaomba moral support.

Ila jamaa sijamuelewa hapo chini nimemquote

"Hii togetherness yetu lets start using it as one, Kwanza Kwa kusahau tofauti zetu za kisiasa na vyama vyetu, tuka supportiana as one, tuka stand together as one kwa jambo letu, ile powers ya pamoja ndio the magic behind!,tutatusua!."

Hivi katika akili za kawaida inawezekana vipi mwanasiasa au mwanachama wa chama flani akamsupport mwanachama wa chama kingine kugombea nafasi ya kisiasa. Mf. Ubunge wa Afrika Mashariki
Upuudhi huo niliona kwa mrema tu.
paschal aambiwe watu wanaweza kuweka pembeni masuala ya vyama/ itikadi za kisiasa na kusaidiana kwenye masuala ya kijamii kama, Ugonjwa, Msiba , Harusi ,ubatizo,kipaimara, .
Haiwezekani niweke pembeni itikadi zangu za kisiasa ili nikusaidie wewe utekeleze itikadi zako za kisiasa kupitia chama chako ambacho sio changu.
Paschali ashauriwe amtafute Mzee wa kiraracha yule anaweza kufanya hivyo
 
kwenye bandiko lake sijaona sehemu anaomba mchango wa hela isipokuwa anaomba moral support.

Ila jamaa sijamuelewa hapo chini nimemquote

"Hii togetherness yetu lets start using it as one, Kwanza Kwa kusahau tofauti zetu za kisiasa na vyama vyetu, tuka supportiana as one, tuka stand together as one kwa jambo letu, ile powers ya pamoja ndio the magic behind!,tutatusua!."

Hivi katika akili za kawaida inawezekana vipi mwanasiasa au mwanachama wa chama flani akamsupport mwanachama wa chama kingine kugombea nafasi ya kisiasa. Mf. Ubunge wa Afrika Mashariki
Upuudhi huo niliona kwa mrema tu.
paschal aambiwe watu wanaweza kuweka pembeni masuala ya vyama/ itikadi za kisiasa na kusaidiana kwenye masuala ya kijamii kama, Ugonjwa, Msiba , Harusi ,ubatizo,kipaimara, .
Haiwezekani niweke pembeni itikadi zangu za kisiasa ili nikusaidie wewe utekeleze itikadi zako za kisiasa kupitia chama chako ambacho sio changu.
Paschali ashauriwe amtafute Mzee wa kiraracha yule anaweza kufanya hivyo
Kwahiyo hiyo pesa gawa kwa idadi ya watu ni jozi za viatu!
 
Mkuu Pasco is a balanced guy ingawaje yeye, kama mimi, ni mwana CCM.
Pasco ana disadvantage moja, yeye kaweka wazi utambulisho wake kama member wa JF.
Yuko muwazi, na hawezi kurarua wana CCM au serikali directly.
Kumbuka wito wa Spika Ndugai bungeni ili ajitetee kushambulia bunge/wabunge/serikali.

Sisi wengine hatuwezi sema tuko 100% anonymous lakini tuna ka autonomy ka kuweza kusema bila mipaka ya uvyama na hata kutofautiana na chama chako katika masuala kadhaa.

Tunajua Pasco ni mtu wa aina gani na all-in-all ni member influential hapa JF ingawaje nakiri kutofautiana naye katika masuala mengine.

Tumpe ushirikiano maana amekuwa na ujasiri wa kuweka matazamio yake hadharani.
Sasa mbona unachanganya CCM na serikali! Mimi nilidhani serikali ni mali ya wananchi na haitatokea hata nukta moja nchi kuwa haina serikali, alipoondoka mwingereza serikali haikuondoka ilibaki ila msimamizi aliondoka na akaingia msimamizi mwingine. Hofu yangu ni kuwa akipata hatawatambua watu wote isipokuwa wanaccm.
 
Paskali ni wale wale nae ni mchumia tumbo, characteristic moja wapo ya wachumia tumbo ni wanafiki.

Hapo sio anahitaji ili aipambanie tanzania la hasha ni binafsi,
Hivyo ukitaka kuchangia mchangie, ni kama vile huwa tunawasaidia wengine, unaona inafaa kumchangia mchangie, ukiona hovyo unavunga, katika maisha lazima kuwe na PANDE MBILI.

kuna 1217 kwenye simu nitamchangia hiyo, kama nisipopata buku jero la kuongezea nijiunge BUNDLE
Hakuna mwanasiasa anayepambana kwa ajili yako, ni kwa matumbo yao
 
Sasa mbona unachanganya CCM na serikali! Mimi nilidhani serikali ni mali ya wananchi na haitatokea hata nukta moja nchi kuwa haina serikali, alipoondoka mwingereza serikali haikuondoka ilibaki ila msimamizi aliondoka na akaingia msimamizi mwingine. Hofu yangu ni kuwa akipata hatawatambua watu wote isipokuwa wanaccm.
Mkuu nadharia ya kisiasa haitakuacha salama!
 
Sijasema tusimchangie, kumbuka hata misibani watu husimangwa na wengine kususiwa chakula kutokana na matendo yao.
Bwashee kama huna pesa ya kumchangia we kaa kushoto na porojo zako acha watu wengine wachange.
Chadema mnatembeza bakuli kila siku hapa, tunawachangia hata tusiokuwa wanachadema, leo imekuwa nongwa kumchangia Pascal?
 
Mbo
Bwashee kama huna pesa ya kumchangia we kaa kushoto na porojo zako acha watu wengine wachange.
Chadema mnatembeza bakuli kila siku hapa, tunawachangia hata tusiokuwa wanachadema, leo imekuwa nongwa kumchangia Pascal?
Na unazidi kumharibia kwa kuweka uvyama, mimi nilijua anachangiwa yeye Paskali kumbe ni CCM! Ubunge wa EALA si wa vyama kama ulikuwa haujui, ni wa nchi na mbunge hutambuliwa kwa nchi yake si chama chake.
 
Paskali mbona sikuelewi, mtu anakuja hapa anasema baba na mama yako ni maafisa wastaafu wa usalama wa taifa, kisha wewe unampa dole! So proud!
 
Pascally nisubiri CRDB kesho asubuhi nikitoka kuchukua mpunga wangu naweza kukuachia kijisenti cha mafuta ya kukusaidia kwenda Dodoma.

Salam aleikum Ngongo safarini kwa mkuu wa mkoa Chalamila nina jambo la kumwambia nitaongea nae nikiwa ofisini kwake.
Kwani kugombea napo ni mchakato sana ...SI kuchukua fomu kurudisha na nauli tu !!?? Fomu shilingi ngapi !!?? Au ndio " SIASA ZA MKONO MTUPU HAULAMBWI"...... Tunasafiri ndefu kama Taifa.
 
Pascal Mayala(CCM) alipopata uwakili nilimuuliza kama atakuwa wakili wa wanaccm tu na mwanachadema ambaye siku zote ana hasira naye ataweza kumtetea? Swali langu lilitokana na dunia kuwa duara, tenda ulitendalo lakini kuna siku utakwama na kuwarudia unaowachukia.

Pasikali asiyewapenda wanachadema leo anawaomba watanzania wote(sijui kama wanachadema nao ni watanzania) bila kujali tofauti zao wamchangie pesa aweze kugombea ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki!

Huyu Paskali anachohitaji pesa tu za kumuwezesha kugombea ubunge tu na atakapoupata atawashukuru wanaccm na viongozi wake, Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania, tukumbuke hii ni EAC.

Pascal ajue umchukiae kesho atakuja kukufaa na siasa hazihitaji chuki za binafsi.
Mayalla alipandisha uzi humu kuomba msamaha, kwa wote aliowakosea na akatangaza msamaha kwa wote waliomkosea, hivyo mambo yasiwe mengi mpe moyo, msapoti na umshauri maana na yeye ni binadamu Kama tulivyo sisi.
 
Back
Top Bottom