Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,712
- 22,297
Pascal Mayala(CCM) alipopata uwakili nilimuuliza kama atakuwa wakili wa wanaccm tu na mwanachadema ambaye siku zote ana hasira naye ataweza kumtetea? Swali langu lilitokana na dunia kuwa duara, tenda ulitendalo lakini kuna siku utakwama na kuwarudia unaowachukia.
Pasikali asiyewapenda wanachadema leo anawaomba watanzania wote(sijui kama wanachadema nao ni watanzania) bila kujali tofauti zao wamchangie pesa aweze kugombea ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki!
Huyu Paskali anachohitaji pesa tu za kumuwezesha kugombea ubunge tu na atakapoupata atawashukuru wanaccm na viongozi wake, Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania, tukumbuke hii ni EAC.
Pascal ajue umchukiae kesho atakuja kukufaa na siasa hazihitaji chuki za binafsi.
Pasikali asiyewapenda wanachadema leo anawaomba watanzania wote(sijui kama wanachadema nao ni watanzania) bila kujali tofauti zao wamchangie pesa aweze kugombea ubunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki!
Huyu Paskali anachohitaji pesa tu za kumuwezesha kugombea ubunge tu na atakapoupata atawashukuru wanaccm na viongozi wake, Pascal atajipambanua yeye ni mbunge kupitia CCM na si watanzania, tukumbuke hii ni EAC.
Pascal ajue umchukiae kesho atakuja kukufaa na siasa hazihitaji chuki za binafsi.