smarte_r
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 4,575
- 12,192
yeye mwenyewe anajiona bonge mjanja kuwa hatumfahamu. wakati anajulikana dhahiri shairi kuwa ni popoma "gentamaisine". kilaza anayeongoza kumiliki ID nyingi hapa jf.Mbona mmeanza kutishana sasa kila mtu ana mtazamo wake sio vyema kumtisha . Tunajuwa unamfahamu kama wewe wanavyo kufahamu wengine.
Tushindane kwa hoja sio hoja kwa fojary
abishe nimvue nguo.