Part 5: TISS Bado safari ngumu

Part 5: TISS Bado safari ngumu

Tanzania ina watu mil 50,watu active wanaohangaika na maisha ni mil 15 walioajiriwa hawazidi laki 8,waliojiajiri sekta isiyo rasmi ni hawazidi laki mil 1.

Mil 35 iliyobaki, ni watoto, wazee mno, wagonjwa, wafungwa na idadi kubwa ya mil 30 ni ma jobless tupu.
Mwisho wa kumnukuu huyo jabali.
Je TISS mnalijua hilo?
Inaendelea...
Mleta mada wewe akili huna kujadili mambo ya intelligence.Kwa sababu intelligence ni idara ya watu wenye akili nyingi sio wajinga Kama wewe.Takwimu zako za kijinga tu.

Watanzania asilimia 90 wamejiajiri sekta ya kilimo,ufugaji na uvuvi .Angalia huo upumbavu wako uliondika hapo.wakulima wafugaji na wavuvi umewaweka wapi mjinga wewe?
 
Pole sana, zero brain, nakupa siku 90 uwe umenipata wewe na genge lako la wauaji washamba, zikipita hujanipata, nitakudaka mimi in personal na Kama urithi uandike mapema.
Unaandika kitoto sana nakuonea huruma maana baada ya kigogo ni wewe waage huko Australia
 
Huyu ni kichwa maji na diarrhoea tongue
Mleta mada wewe akili huna kujadili mambo ya intelligence.Kwa sababu intelligence ni idara ya watu wenye akili nyingi sio wajinga Kama wewe.Takwimu zako za kijinga tu.

Watanzania asilimia 90 wamejiajiri sekta ya kilimo,ufugaji na uvuvi .Angalia huo upumbavu wako uliondika hapo.wakulima wafugaji na wavuvi umewaweka wapi mjinga wewe?
 
Huwezi compare ,CIA, Mossad against African State Intelligency, ni vitu viwili tofauti unaongelea nchi ambayo Industry revolution wameifanya mwaka 1776 na nchi ambazo hata bado hazijafika viwango hivyo, unaongelea USA ambayo imefanya mapinduzi makubwa ya technologia, unaongelea Israel ambayo tangu iundew iko vitani na majirani zake, kwahiyo mafanikio ya taasisi za ujasusi za nchi yeyote ile duniani inategemea sana uchumi wa nchi husika pamoja na technologia.
 
Huwezi compare ,CIA, Mossad against African State Intelligency, ni vitu viwili tofauti unaongelea nchi ambayo Industry revolution wameifanya mwaka 1776 na nchi ambazo hata bado hazijafika viwango hivyo, unaongelea USA ambayo imefanya mapinduzi makubwa ya technologia, unaongelea Israel ambayo tangu iundew iko vitani na majirani zake, kwahiyo mafanikio ya taasisi za ujasusi za nchi yeyote ile duniani inategemea sana uchumi wa nchi husika pamoja na technologia.
Msaidie labda atakuelewa maana alipofika huko akajua hata tz tulitakiwa tuwe hivyo bila kupitia magumu

State agent
 
Back
Top Bottom