Part 5: TISS Bado safari ngumu

Part 5: TISS Bado safari ngumu

Nadhani unawa-underrate sana hao TISS...Hujui kuwa TISS ina wasomi waliobobea?? Chombo cha security katika nchi yoyote ile duniani kina wasoi wakubwa na wataalamu na wanataaluma wa wa fani mbalimbali...ndivvyo ninavyofahamu mimi
Soma mada uelewe vizuri mkuu, ulitaka niwasifie kwa lipi?
 
Takataka chafu Kama wewe kaa mbali na mada zangu, waache wenye akili wachangie
Kama unafikiri hizi pumba na upupu unamwaga hapa ni akili you ought to be mentally checked.
Tatizo msio na akili mnafikiri you know every thing, ukiwa challenged na logic you go ballistic.

Jibu mapigo kama mtu aliyeona darasa.
I can go the distance.
 
Kwangu Mimi hilijambo hua linaniumiza sana nani alimzuia ,au lowasa
 
Huu ujinga wako ipo siku utakugharimu tena kwa gharama kubwa ambayo huta isahau ,usidhani hufahamiki wala upo dunia nyingine

State agent
A poor comment kutoka kwa kijana wa CCM mwenye vinasaba vya uchoko
tapatalk_1572018188239.jpeg
 
Acha mambo ya kutishana! Kama huna kifua cha kuhimili ya humu JF usiingie kabisa, la sivyo weka hoja yako kupinga yake. Hayo mambo ya "hunijui Mimi" yamepitwa na wakati.
Sawa bwana state agent!

Watu Kama hawa ndio mtoa mada anawaongelea wapo kwa ajiri ya matumbo Yao na sio kwa maendeleo ya taifa...
 
Back
Top Bottom