Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
- Thread starter
- #101
Tena bodaboda sometimes hadi wajaziwe mafuta
Kwa hao wanaojitambua..hapo kuna Madaktari, maprofesa na watu kutoka kada na hali mbalimbali wanajumuika pamoja kuandamana na kutetea haki kwa Maslahi ya wote. Hapa kwetu jambo hilo ni ndoto. Tunategemea Bodaboda waandamane tupate mabadiliko!