Paris inawaka moto...

Victor wa happy

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
11,660
11,641
Kwa huu moto Emmanuel macron sijui kama atabaki

Nchi ya Ufaransa imesimama watu kutoka mashambani wanakusanyika mjini Paris kishinikiza macron aondoke madarakani

Kampuni za usafirishaji hasa mabasi zimeshusha nauli kwa 50% ili kuwawezesha wananchi wanaotaka kwenda Paris kuungana na waandamanaji wengine
Usafiri wa tren pia kuna discount kwa wanaosafiri kwenda paris kwa ajili ya maandamano makubwa yaliyopangiwa kufanyika aidha vyombo mbali mbali vya habari vinaripoti macron anajiandaa kung'oka kwa hiari.

Chanzo kikubwa cha maandamano ni kupanda kwa gharama za maisha hasa nishati ya petrol
Pia makampuni kadhaa ya ndege yanashusha nauli kwa wanaokwenda paris kuandamana

Tukumbuke macron alikuwa tumaini kubwa sana kwa umma wa ufaransa kabla ya kuingia ikulu kutokana na sera zake ila sasa mambo yabadilika



My concern...Putin anataka kuisambaratisha ulaya? Kuna vitu vingi nyuma ya pazia tuendelee kusubiri na kuona

Hii inanikumbusha french rovulations iliyopelekea ufaransa kuendelea sana
IMG_20181208_155918.JPG
 
Wenzetu wanafundishwa fundamental rights toka ngazi ya chini, kila raia anatambua haki na wajibu

Ndio maana hata kwenye mahusiano wenzetu ni wakweli kutokana na misingi wanayokulia

Sasa nchi zetu za kiafrika utakuta hata polisi hajui majukumu yake

Afrika bado tunasafari ndefu sana
Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.

Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
 
Sidhani mkuu macron anamahusiano makubwa sana na washngton

Ukiangalia kwa jicho la tofauti apo hata russia anaweza kuwa chanzo cha migogoro kwakuwa macron amekuwa akimlalamikia putin kuwa anahujumu umoja wa ulaya analengo la kuusambaratisha
Na hivi anahamasisha Ulaya/Nato ijitegemee /isiitegemee USA kihiivyo usikute USA wameshafanya yao kwny hayo maandamano.
 
My concern...Putin anataka kuisambaratisha ulaya? Kuna vitu vingi nyuma ya pazia tuendelee kusubiri na kuona
Naona unataka kuficha Mleta vurugu wa ukweli kwenye kichaka cha Russia!
===
Swali: Unakumbuka Macron alivyosema EU itengeneze jeshi lake iache kutegemea US, je. rais Putin alisemaje ?
Jibu: Tena kwa ushahidi-

In an interview with RT France during his visit to Paris, Russian President Vladimir Putin said that French President Emmanuel Macron's idea of forming unified European armed forces reflects a “generally positive process”. “As for the alternative all-European armed forces, this is not a new idea. President Macron has reanimated it but one of the ex-presidents of France, Jacques Chirac, also told me about it. These ideas existed even before him,” Putin said.

“Europe is a powerful economic entity, a powerful economic union, so it is quite natural for member countries to want to be independent and sovereign in defense and security," he said.Putin noted that, in general, it is a “positive process from the point of view of the multi-polar world.”On Tuesday, French President Emmanuel Macron called for the creation of a "real European army" to protect Europe from Russia and even the United States.
===
Putin says France’s plan for EU Army is ‘natural’ | Free West Media
UAWire - Putin supports Macron's idea of forming a European army
Natural that Europe should want an army, says Russia's Putin | Reuters
----
Sasa swali kwako: Je. Pentagon ama Whashington alizungumzia nini juu ya kauli ya Macron?
Kwa kifupi hii inaweza kuwa mkakati wa yule amwitaye mshirika kumuuangamiza. Usiisingizie Russia na Putini wao.
 
Bado tupo kwenye giza totoro hatujui tunataka nini

Mkuu unajiuliza kwanini tupo hapa sisi nchi za kiafrika?
Jibu ni rahisi tupo hapa kwasababu timenywa elimu laa kama kama tungepata fursa ya elimu watawala wasingetuchezea hivi
Nilibaki kinywa wazi pale muandamanaji alipo mpa glasi ya wine askali wote wakagonga tano nikatafakari ingekuwa bongo ???
 
Ukisoma hiyo interview ya putin utaelewa kuwa putini anapalilia sana Nato ipasuke ikipasuka Nato lazima nato ya ulaya pia itapasuka kuna watakaomua kuendelea kuwa sehemu ya USA kuna watakaomua kujitoa kabisa

Urusi hawezi kuwa rafiki wa kweli wa bara la ulaya, urusi ni adui mkubwa wa ulaya huyu lengo lake ni kuivuruga






Naona unataka kuficha Mleta vurugu wa ukweli kwenye kichaka cha Russia!
===
Swali: Unakumbuka Macron alivyosema EU itengeneze jeshi lake iache kutegemea US, je. rais Putin alisemaje ?
Jibu: Tena kwa ushahidi-

In an interview with RT France during his visit to Paris, Russian President Vladimir Putin said that French President Emmanuel Macron's idea of forming unified European armed forces reflects a “generally positive process”. “As for the alternative all-European armed forces, this is not a new idea. President Macron has reanimated it but one of the ex-presidents of France, Jacques Chirac, also told me about it. These ideas existed even before him,” Putin said.

“Europe is a powerful economic entity, a powerful economic union, so it is quite natural for member countries to want to be independent and sovereign in defense and security," he said.Putin noted that, in general, it is a “positive process from the point of view of the multi-polar world.”On Tuesday, French President Emmanuel Macron called for the creation of a "real European army" to protect Europe from Russia and even the United States.
===
Putin says France’s plan for EU Army is ‘natural’ | Free West Media
UAWire - Putin supports Macron's idea of forming a European army
Natural that Europe should want an army, says Russia's Putin | Reuters
----
Sasa swali kwako: Je. Pentagon ama Whashington alizungumzia nini juu ya kauli ya Macron?
Kwa kifupi hii inaweza kuwa mkakati wa yule amwitaye mshirika kumuuangamiza. Usiisingizie Russia na Putini wao.
 
Africa sijui lini tutafikia kua na UMOJA huo. Burundi hali mbaya, Kenya kashfa za rushwa kila kukicha, Tanzania tunamuachia Zitto aongee. Nigeria tia maji tia maji, mungu saidia. Uganda nchi Rais Yoweri Museven ana HATI MILIKI kabisa. Somalia labda Yesu mtoto wa Maryam ashuke.

Tumekaa kinafiki kinafiki tu ndo maana hatuendelei.
 
Kama kuongea tu huku kwetu ni kosa uyo nadhani uyo angetenganishwa kichwa na kiwili wili
Nilibaki kinywa wazi pale muandamanaji alipo mpa glasi ya wine askali wote wakagonga tano nikatafakari ingekuwa bongo ???
 
Back
Top Bottom