Paris inawaka moto...

Kwa huu moto Emmanuel macron sijui kama atabaki

Nchi ya Ufaransa imesimama watu kutoka mashambani wanakusanyika mjini Paris kishinikiza macron aondoke madarakani

Kampuni za usafirishaji hasa mabasi zimeshusha nauli kwa 50% ili kuwawezesha wananchi wanaotaka kwenda Paris kuungana na waandamanaji wengine
Usafiri wa tren pia kuna discount kwa wanaosafiri kwenda paris kwa ajili ya maandamano makubwa yaliyopangiwa kufanyika aidha vyombo mbali mbali vya habari vinaripoti macron anajiandaa kung'oka kwa hiari.

Chanzo kikubwa cha maandamano ni kupanda kwa gharama za maisha hasa nishati ya petrol
Pia makampuni kadhaa ya ndege yanashusha nauli kwa wanaokwenda paris kuandamana

Tukumbuke macron alikuwa tumaini kubwa sana kwa umma wa ufaransa kabla ya kuingia ikulu kutokana na sera zake ila sasa mambo yabadilika



My concern...Putin anataka kuisambaratisha ulaya? Kuna vitu vingi nyuma ya pazia tuendelee kusubiri na kuona

Hii inanikumbusha french rovulations iliyopelekea ufaransa kuendelea sanaView attachment 960355
ndiyo tabu ya kumpa kijana madaraka
yaani mtu 45+ anakuwa rais wa Nchi.
bata ale saa ngapi.na michepuko aipitie mda Gani...
bado screenshots na post za insta chill with D.trump at white House.....hahahahahaa daah vijana hawafai aseeh
 
Ndio mkuu hata uchina ilifuata njia hiyo hiyo kuleta mapinduzi, kwani kabla ya mapinduzi ya mwaka 1949 walikuwa chini ya utawala wa mkono wa chuma wa bwana CHIANG KAISHAK huyu bwana alikuwa kibaraka wa nchi za magharibi, nchi ilikuwa inakumbwa na ukame wa muda mrefu, njaa miundo mbinu mibovu, ufisadi, umasikini wa kutupwa pamoja na ukandazamaji wa haki za kiraia

Historia inasema kuwa hiki ndicho kipindi walipojifunza kula vitu visivyolika kutokana na kupigwa na baa la njaa kwa kipindi kirefu walikúla nyoka, vyura waligeukia hadi wanyama wa wakufugwa kama mbwa

Hali hii iliwapelekea wachina bila kujali ujinga wao walikuja pamoja kupinga madhila yalitokuwa yanawakumba

Wakiongozwa na mwenyekiti wao MAO-TSE TUNG chini ya chama cha kikumunist walifanikiwa kumvurumusha CHIANG ambaye alikuwa kibaraka wa nchi za msgharibi (wanasiasa wanaposema tulikuwa level moja ya kiuchumi na china wakati wa uhuru ndio wakati huu)

Pamoja na mapungufu ya Mao kwani naye alikuwa na element za udkteta ila kwa kiasi kikubwa alifanikiwa kutransform uchumi wa china kiongozi huyu alivutiwa zaidi na uongozi wa iliyokowa USSR ndugu Vladimir Lenini alikuwa kama role mode wake kama alivyofanya nyerere alitaifisha mali zote zilizomilikiwa na wageni km wazungu na wajapan, aliunganisha wachina kwa kuamua kutumia kichina km lugha ya taifa, pamoja na kuwafanya waamini kaatika dini zao za asili kuliko zile za magharibi
Bwana Mao alikuja na mpango kazi kama (green revolution) mapinduzi ya kilimo pamoja na mambo mengine mapinduzi ya kijani yalipekea uchina kukua kwa kasi kubwa kwani haikuwa mapinduzi ya kwenye makaratasi ila kila kona ya nchi ilizalisha ndicho kipindi pia baadae ambapo Mao alimkaribisha Rais wa USA kipindi kile Richard nixon kwa ajili ya kuwekeza uchumi wa viwanda hapo ndio china ilianza kupadilika rasmi

Kutokana na kujiimarisha kwa uchina kutokana na kukua kwa kasi kulipekea kuzuka kwa siasa za kinazi na kifashizimu pia dunia ikagawanyika katika pande mbili Warsaw pact na ile ya magharibi Nato ndio kipindi pia vita baridi ilipamba moto hata nyerere alipozuru uchina alishangaa jinsi nchi ilivyokuwa inakimbia kiuchumu Pamoja na Mao kulaumiwa kuua wapinzani na kuwapoteza lkn ametoa mchango mkubwa katika nchi yake

Asante mkuu
Louis XVI ndio alikua Mfalme wa mwisho ufaransa, 1774-92, alitokea katika ukoo wa Bourbon Monarchs na baada ya kuhukumiwa kifo huyu mfalme ndio Ufaransa wakafanya mapinduzi mnamo mwaka 1789. Aliuliwa kwakukutwa na hatia ya UHAINI. Aliemuua alikua anaitwa Guillotine mnamo mwaka 1793.

Huyu mfalme anajulikana sana kwa kilichomkuta. Ila historia ya China Qin Dynasty inautata kama ya Alexander The Great (Kila mtu anavutia kwa upande wake).

Cha kutafakari, Ufaransa WALIMKATA KICHWA mfalme ambae alikutwa na hatia ya UHAINI. Si jambo jepesi hili.

Uko sawa mkuu,
9d719fca-0a4a-4c66-9e45-c8d2573a5849.jpeg
5fcb8fe4-0681-4dc1-bf42-9f5e781d8120.jpeg
 
anawaza kula bata na kupiga pamba
ndiyo tabu ya kumpa kijana madaraka
yaani mtu 45+ anakuwa rais wa Nchi.
bata ale saa ngapi.na michepuko aipitie mda Gani...
bado screenshots na post za insta chill with D.trump at white House.....hahahahahaa daah vijana hawafai aseeh
 
Africa sijui lini tutafikia kua na UMOJA huo. Burundi hali mbaya, Kenya kashfa za rushwa kila kukicha, Tanzania tunamuachia Zitto aongee. Nigeria tia maji tia maji, mungu saidia. Uganda nchi Rais Yoweri Museven ana HATI MILIKI kabisa. Somalia labda Yesu mtoto wa Maryam ashuke.

Tumekaa kinafiki kinafiki tu ndo maana hatuendelei.
Wao pia walipita barabara hii hii tena worse!
No worries at all!
Wala laajabu hamna walahi
 
Naona unataka kuficha Mleta vurugu wa ukweli kwenye kichaka cha Russia!
===
Swali: Unakumbuka Macron alivyosema EU itengeneze jeshi lake iache kutegemea US, je. rais Putin alisemaje ?
Jibu: Tena kwa ushahidi-

In an interview with RT France during his visit to Paris, Russian President Vladimir Putin said that French President Emmanuel Macron's idea of forming unified European armed forces reflects a “generally positive process”. “As for the alternative all-European armed forces, this is not a new idea. President Macron has reanimated it but one of the ex-presidents of France, Jacques Chirac, also told me about it. These ideas existed even before him,” Putin said.

“Europe is a powerful economic entity, a powerful economic union, so it is quite natural for member countries to want to be independent and sovereign in defense and security," he said.Putin noted that, in general, it is a “positive process from the point of view of the multi-polar world.”On Tuesday, French President Emmanuel Macron called for the creation of a "real European army" to protect Europe from Russia and even the United States.
===
Putin says France’s plan for EU Army is ‘natural’ | Free West Media
UAWire - Putin supports Macron's idea of forming a European army
Natural that Europe should want an army, says Russia's Putin | Reuters
----
Sasa swali kwako: Je. Pentagon ama Whashington alizungumzia nini juu ya kauli ya Macron?
Kwa kifupi hii inaweza kuwa mkakati wa yule amwitaye mshirika kumuuangamiza. Usiisingizie Russia na Putini wao.
Read this article but inanigomea apload
IMG_20181209_091101.JPG
 
Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.

Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
nafikiri hata ww usinge comment hapa maana ungekuwa ushavunjwa vunjwa mikono😂😂😂 africa bhana ni bara la hovyo kabisa viongoz waroho wababe wazee,washenzi,wauwaji na hawashauriki hata kama anajiona anakosea hatak kukubar ili tu awakomoe wapinzan wake,,mbaya zaidi ukipaza saut unatekwa
 
Kwa hao wanaojitambua..hapo kuna Madaktari, maprofesa na watu kutoka kada na hali mbalimbali wanajumuika pamoja kuandamana na kutetea haki kwa Maslahi ya wote. Hapa kwetu jambo hilo ni ndoto. Tunategemea Bodaboda waandamane tupate mabadiliko!
 
Acheni hizo hapa hakuna cha mkono wa Trump wala wa Putin. Wafaransa wenyewe wameamua kudai haki zao. Chanzo ni kwamba Macron alifuta kodi inatwa ISF. L'import sur fortune. Hii kodi walikuwa wanalipa matajiri na ilikuwa inaiingizia nchi almost 5b euros.Sasa alipoifuta ili kufidishia kaongeza kodi ya gasoline na kodi kibao kwa classe moyenne. Yaani watu wa maisha ya kati. Maandamano yalianza ili kupinga ongezeko la kodi kwa mafuta na kupanda hali ya kuwa maisha magumu. Gilet jaune "Yellow vest ndo vazi maalumu la waandamanaji. Hata hivyo Maandamano yamejibu maana hiyo kodi imefutwa. Na wiki ijayo Rais ataongea na Taifa. Sasa hotuba ya Rais ndo itatoa majibu kama Gilet jaune wataendelea kuandamana ama la.
 
Thanks for the alert your a super girl
Acheni hizo hapa hakuna cha mkono wa Trump wala wa Putin. Wafaransa wenyewe wameamua kudai haki zao. Chanzo ni kwamba Macron alifuta kodi inatwa ISF. L'import sur fortune. Hii kodi walikuwa wanalipa matajiri na ilikuwa inaiingizia nchi almost 5b euros.Sasa alipoifuta ili kufidishia kaongeza kodi ya gasoline na kodi kibao kwa classe moyenne. Yaani watu wa maisha ya kati. Maandamano yalianza ili kupinga ongezeko la kodi kwa mafuta na kupanda hali ya kuwa maisha magumu. Gilet jaune "Yellow vest ndo vazi maalumu la waandamanaji. Hata hivyo Maandamano yamejibu maana hiyo kodi imefutwa. Na wiki ijayo Rais ataongea na Taifa. Sasa hotuba ya Rais ndo itatoa majibu kama Gilet jaune wataendelea kuandamana ama la.
 
Back
Top Bottom