Paris inawaka moto...

Paris inawaka moto...

Wangekuja afrika mashariki ingeo-opeka km afrika kaskazini sema cha moto tungekiona
Jews are opportunist sijui wangekubari kuja kuishi Uganda ingekuwaje. Sema ninahisi wangetusaidia kuendelea kidogo japo wangetutumia sana na kutuiba rasilimali pia
 
Trump alipongeza Uingereza kujiondoa Umoja wa ulaya, katafute clip zake wakati wa kampeni uone.
Hata kama putin hausiki moja kwa moja lakini putin ni adui mkuu wa umoja wa ulaya amejaribu kila namna kuudhofisha na anajua kabisa na anajua kabisa ulaya iliyoungana ni hatari kwake

Kwasera ya USA ulaya ni kubaki moja bila kuvunjika ndiyo maana Obama na Trump kwa wakati tofauti wameilaumu Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya.


Kwa Urusi ni kuona ulaya na Nato kwa ujumla inasambaratika
 
Wangekuja afrika mashariki ingeo-opeka km afrika kaskazini sema cha moto tungekiona
Sijui kwanini walikataa ardhi yenye rutuba wakakubari kurudi jangwani huko. Au walitaka kuwa kwenye ardhi ya ma ancestors. Kagera ingelikuwa mali yao na wangekuwa wanazidi kuswaga wanasogeza mpaka kama wanavyofanya huko Gaza
 
Waliangalia mbali maana baadae wangekuja kuletewa vurugu na wazawa kuwa wavamizi ...wanasema cha mtu mavi
Sijui kwanini walikataa ardhi yenye rutuba wakakubari kurudi jangwani huko. Au walitaka kuwa kwenye ardhi ya ma ancestors. Kagera ingelikuwa mali yao na wangekuwa wanazidi kuswaga wanasogeza mpaka kama wanavyofanya huko Gaza
 
Waliangalia mbali maana baadae wangekuja kuletewa vurugu na wazawa kuwa wavamizi ...wanasema cha mtu mavi
Hahaha labda miaka 1000 mbele, sisi tunavyowabudu watu weupe sijui huo uwezo wa vurugu tungeutoa wapi. Kwanza wangetudunda kama Wapalesna wanavyopigwa na bora waarab wabishi sisi tulivyowaoga. We wadhan Mu7 bila uoga wa waganda angekuwa madarakani?
 
Kweli maskini utamjua kwa ugomvi tajiri kwa busara zake
Siyo waarabu origino hao ni wabarbaigi wengi kutoka Algeria, Maroc,Tunisia. (North Africa kwa ujumla )Waarabu origino wa kutoka Oman, Qatar, The Emirates, Saudi Arabia hao ni wastaarabu wengi wanakwenda Ufaransa kula bata tu na hela zao za wese.
 
nimecheka sana iyo magari, treni, ndege kushusha nauli ili watu wafike town kuandamana

huku kwetu jamaa angelopoka mwendokasi tulete sio alafu wapande waandamanaji haiwezekani

jamaa anajikutaga sana kumbe........
 
Back
Top Bottom