Mkuu, naweza kupata link ya kauli hii ya Trump ya kutaka UK ibaki ndani ya EU !?Mkuu kuwa uptodate sina haja ya kupotosha humu
Nami nakua na hisia sana na hili hasa ile kauli ya juzi ya Macron alivyosema...ulaya inahitaji iwe na jeshi lake, huku pakawa na vijembe na mzee wa washington napata mashaka kidogoNa hivi anahamasisha Ulaya/Nato ijitegemee /isiitegemee USA kihiivyo usikute USA wameshafanya yao kwny hayo maandamano.
Na hisia zako zitakua ndio zenyewe mkuu maana wale jamaa wa Washngton kwa figisu pale ndio kwao.Nami nakua na hisia sana na hili hasa ile kauli ya juzi ya Macron alivyosema...ulaya inahitaji iwe na jeshi lake, huku pakawa na vijembe na mzee wa washington napata mashaka kidogo
Najaribu kuleta link inasumbua ila cheki iyo captMkuu, naweza kupata link ya kauli hii ya Trump ya kutaka UK ibaki ndani ya EU !?
Iende CdM huko makamanda si wapo? #KazinaBata#
Hadi rahaa
Nawaza tu ingekua bongo land kuna watu wengerudi makwao hawana meno, wengine viuno vimetegukaNawaza tu ingekua bongo land kuna watu wengerudi makwao hawana meno, wengine viuno vimeteguka
Reli ya kati ipunguze bei tuje Dar ma.mae tuliamshe dude
Wahuni wa ccm/viongozi wa Africa walifanikiwa kutengeneza genge kubwa sana la wasomi wapumbavu, ndiyo maana tunakufa na tai shingoni, unatengemea msomi kama Prof Kabudi unatengemea uwe kama mzungu?Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.
Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
Kwahiyo Putin kawapandikiza na kuwashawishi wananchi wa ufaransa waandamane sioUkisoma hiyo interview ya putin utaelewa kuwa putini anapalilia sana Nato ipasuke ikipasuka Nato lazima nato ya ulaya pia itapasuka kuna watakaomua kuendelea kuwa sehemu ya USA kuna watakaomua kujitoa kabisa
Urusi hawezi kuwa rafiki wa kweli wa bara la ulaya, urusi ni adui mkubwa wa ulaya huyu lengo lake ni kuivuruga
Ufaransa alishiriki kumtoa Ghadafi madarakani.. Sasa ni zao yao kuonja joto la maandamano..
Nimecheka san a hiyo comment yako!Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.
Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.