Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Oct 26, 2018
21,713
35,525
FB_IMG_1688052846817.jpg


Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.

Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.

Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.

BBC

=====================
Hii inanikumbusha miaka flani msanii wa Ufaransa alichora katuni
Jamaa wakahisi kachorwa "Mo"
Waliwasha moto utafikiri wapo nchini kwao. 😅😅😅😅😅😅 mkiona mnanyanyaswa si mnarudi tu makwenu
 
Ni muda sasa umefika wawaache wafanye watakavyo soon watachoka kuichokonoa dini ya watu. Biblia tele zinachanwa na kuchomwa moto na watu hawapigi kelele mpaka wachanaji wanajiona wajinga
Mimi vitendo hivi naviona kama vinawaondoa watu miaka ya giza na kuwaleta kwenya miaka ya sasa. Kuna watu bado wapo vifungoni sana na wapo miaka ya 1400 huko.
Sasa hivi wataanza kuzoea na soon wataanza kujicheka
 
Salwan Momika, anayesemekana kuwa mzaliwa wa Iraq anayeishi Sweden, alichoma moto nakala Quran mbele ya msikiti mkuu wa Stockholm siku ya Jumatano.

Mataifa ya Mashariki ya Kati yakiwemo Iraq, Iran, Saudi Arabia na Misri yamekosoa vikali uchomaji huo.

Na Uturuki, imesema kuwa ni "kitendo cha kudharau" huku Morocco ikimrudisha nyumbani balozi wake wa nchini Sweeden kufuatia kuchomwa kwa Koran kwenye maandamano mjini Stockholm.
BBC

Watu wana akili na mitazamo ya ile kale chakavu na ya kijima. Yaani Quran ikiandikwa kwenye karatasi na kuwekwa kitabuni halafu ikachanwa eti wanaandamana.
Mbona inavyokuwa unistalled kwenye simu hawaandamani?
Wangepiga marufuku zisiwepo apps za quaran wala zisiandikwe mitandaoni (electronically) sababu huenda watu waka format na hivyo kuwa sawa na kuchana tu.
 
Back
Top Bottom