Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,659
- Thread starter
- #41
Hata kama putin hausiki moja kwa moja lakini putin ni adui mkuu wa umoja wa ulaya amejaribu kila namna kuudhofisha na anajua kabisa na anajua kabisa ulaya iliyoungana ni hatari kwake
Kwasera ya USA ulaya ni kubaki moja bila kuvunjika ndiyo maana Obama na Trump kwa wakati tofauti wameilaumu Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya.
Kwa Urusi ni kuona ulaya na Nato kwa ujumla inasambaratika
Kwasera ya USA ulaya ni kubaki moja bila kuvunjika ndiyo maana Obama na Trump kwa wakati tofauti wameilaumu Uingereza kujitoa kwenye umoja wa Ulaya.
Kwa Urusi ni kuona ulaya na Nato kwa ujumla inasambaratika
Putin hahusiki popote.dogo huyu mbishi sana.trump alikuwa anamshauri vizuri mpaka wakati Fulani wanagombana kutokana na sera mbovu.Sera zake za kuwa globalist zina mkost.trump marekani kwanza ndio maana marekani maisha mtelemko.wanajaribu kumchonganisha trump na wananchi lakini hawafanikiwi.