Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Mbali na Msofe, washtakiwa wengine walikuwa wakili wa kujitegemea, Mwesigwa Mhingo, Wenceslau Mtui, Josephine Haule na Fadhil Mganga
Miongoni mwa mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili ni kuratibu genge la uhalifu, utakatishaji fedha na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu
Zaidi, soma:
1). Papaa Msofe naye yamkuta. Afikishwa Mahakamani akituhumiwa na makosa matano likiwemo ya Utakatishaji fedha
2). Papaa Msoffe apata dhamana baada ya kubadilishiwa mashtaka
3). Papaa Msofe akabiliwa na kesi ya mauaji
4). Papa Msofe ni mfanyabiashara au tapeli Maarufu?