Tufike mahali tuvunje ukimya:
1. Kuzitambua jitihada za kupigiwa mfano za watu wengine ni jambo la kistaarabu.
2. Vita vya kupigania haki, usawa, uhuru, demokrasia na maendeleo ni vita vya kudumu.
3. Nani asiyeyapenda au kuyahitaji matano hayo?
4. Manne ya mwanzo ni ya msingi zaidi duniani, wakati maendeleo ni ya mtu na taifa moja moja.
5. Matano hayo ndiyo agenda kuu katika chaguzi zote za waliostaarabika duniani.
6. Nchi isiyo amini katika matano hayo haina mchango wowote katika dunia hii.
7. Kiongozi yeyote asiyeamini katika matano hayo hatufai!
8. Chama kisichokuwa na imani yoyote kwenye matano hayo ni cha hovyo.
9. Tumekuwa na vyama vya hovyo visivyokuwa na imani yoyote inayojulikana kuyahusu.
10. Kiongozi, chama au taifa lisilokuwa na imani zozote zinazojulikana litakuwa na msimamo gani kwenye nini?
11. Imani huzaa misimamo isiyoteteleka:
(a) "Heko Papa Francis, Tundu Antipas Lissu na wengine kwa kuiweka misimamo yenu wazi kuhusu Palestina, Gaza, Israel na hata haki za LGBTQ."
(b) Haipo shaka hata msimamo wa wawili hawa kuhusu Ukraine hauwezi kuwa rojo rojo au kuwa kama wa wasiojitambua
12. Hapo #11; kwa hakika ninyi ni viongozi na hazina kwa dunia kama wale wenye kufuzu zawadi za Nobeli.
Nyetere ni mfano mwingine wa kuigwa:
Palestine, Julius Nyerere and international solidarity – Middle East Monitor
1. Kuzitambua jitihada za kupigiwa mfano za watu wengine ni jambo la kistaarabu.
2. Vita vya kupigania haki, usawa, uhuru, demokrasia na maendeleo ni vita vya kudumu.
3. Nani asiyeyapenda au kuyahitaji matano hayo?
4. Manne ya mwanzo ni ya msingi zaidi duniani, wakati maendeleo ni ya mtu na taifa moja moja.
5. Matano hayo ndiyo agenda kuu katika chaguzi zote za waliostaarabika duniani.
6. Nchi isiyo amini katika matano hayo haina mchango wowote katika dunia hii.
7. Kiongozi yeyote asiyeamini katika matano hayo hatufai!
8. Chama kisichokuwa na imani yoyote kwenye matano hayo ni cha hovyo.
9. Tumekuwa na vyama vya hovyo visivyokuwa na imani yoyote inayojulikana kuyahusu.
10. Kiongozi, chama au taifa lisilokuwa na imani zozote zinazojulikana litakuwa na msimamo gani kwenye nini?
11. Imani huzaa misimamo isiyoteteleka:
(a) "Heko Papa Francis, Tundu Antipas Lissu na wengine kwa kuiweka misimamo yenu wazi kuhusu Palestina, Gaza, Israel na hata haki za LGBTQ."
(b) Haipo shaka hata msimamo wa wawili hawa kuhusu Ukraine hauwezi kuwa rojo rojo au kuwa kama wa wasiojitambua
12. Hapo #11; kwa hakika ninyi ni viongozi na hazina kwa dunia kama wale wenye kufuzu zawadi za Nobeli.
Nyetere ni mfano mwingine wa kuigwa:
Palestine, Julius Nyerere and international solidarity – Middle East Monitor