TRUE TANZANIAN
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 434
- 462
Ujue wazungu wanaamini sana katika uhuru wa mtu mmoja mmoja na kuishi Kama ambavyo yeye anahisi anaifurahisha nafsi yake... Ndio maana wakati mwingine uhuru unapitiliza na kufanya mambo ambayo (nafikiri) hayampendezi mwenyezi Mungu, but Who Am I to Judge..????? Bado POPE amesimama kwenye misingi ya dini, sisi sio Mungu.... Tumuachie mwenyew ataelewana na wana wake siku ya Hukumu....!!!!!!! Sisapoti mapenzi ya jinsia moja but Who Am I to Judge...????
Ivi leo ukasikia babako anashiriki mapenzi ya jinsia moja utasubiri mpaka Mungu aje amuonye?? Unapokuwa kiongozi ishi kama kiongozi ujinga wa kuvuana chupi wanaume kwa wanaume mwisho ilikuwa SODOMA! Alishindwa kusema hata ivo?? Laana zingine hapa duniani tunazitaka wenyewe... Ndoa za jinsia moja HAZIKUBALIKI!!!