Kaka
JF-Expert Member
- Nov 22, 2006
- 742
- 369
Mimi Nina swali (lengo langu ni kujifunza na kuongeza maarifa tu) Kwanini mahusiano ya kingono ya jinsia moja iwe suala la uhuru na uamuzi wa mtu kujichagulia aina ya maisha yake. Na si hivyo kwa maharimu kushiriki ngono?
Maana hata huo nao ni uhuru wao wa kujichagulia aina yao ya maisha.
Kaka.
Maana hata huo nao ni uhuru wao wa kujichagulia aina yao ya maisha.
Kaka.