TRUE TANZANIAN
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 434
- 462
sasa km babako akiwa shoga utafanyaje?
Utampiga risasi au utavaa mabomu ukamlipue?
Sishabikii ushoga hata kidogo ila ktk ulimwengu wa roho tunapaswa kuwaombea ili wabadilike na pia tuwape mafundisho ya kibiblia ili wapate kumjua YESU.
Suala la kuhumu ni la Mungu na si binadamu.
Kuwatenga na kuwakemea tunaruhusiwa sbb itatuonyesha kwamba tumechukizwa.
Sasa babako akiwa shoga ukimuua unafikir utakwenda mbingu ya nani? Au unafikiri baada ya kumlipua kwa bomu ww utaenda mbinguni?
Huoni km unajiongezea dhambi
Huu ni mkakati brother G! Usidhani inatokea tu kikawaida.... Sasa kama Pope atakuwa na sauti ya hivyo kwenye uovu mkubwa hivyo hajashindwa tu mpaka level hiyo kama ni vitaaaa??? Si kila kinachokubaliwa na kiongozi mkubwa kama Pope nasi tukikubali! Lazima tukatae uovu na waovu kwa nguvu zote no matter what brother!