Hilo ni swali tofauti ambalo jibu lake linafanyiwa kazi bado, lakini si Mungu huyo.Sasa sisi viumbe hai tumetoka wapi?
Ukijua kwa uhakika huamini na ukiamini hujajua kwa uhakika.Nina imani kwa Mungu wangu isiyoyumbishwa na yeyoye awaye yote! Ninajua kwa hakika kwanini naamini juu ya uwepo wake! Nimaani katika utatu mtakatifu. Na ninaamini katika maisha mapya baada ya kifo
Kwangu sioni tatizo..maana ni HAKIKA na si UHAKIKA kama ulivyotafsiriUkijua kwa uhakika huamini na ukiamini hujajua kwa uhakika.
Umechanganya madawa.
Kwanini anyanyase watotohuyu hata kashfa ya unyanyasaji watoto atakuwa nayo..
Hivi kwa mujibu wa aya yako ya mwisho na maelezo ya biblia kwa ujumla kama binadamu watapewa mwili mpya tofauti na wa awali watatambuanaje? Maana kila siku mmoja wetu anapotangulia mbele ya haki uwa tunafarijiana kwa kusema "tutaonana baadae" kumaanisha kuna siku tutakuja kuonana huko mbinguni.Hata huyo MUNGU ni Hali,Kama ilivyo pumzi/roho yako iliyopewa 'mahali' pa kuishi(mwili) kisha ukawa physical being
Siku ukifa unarudi kwenye 'hali' yako ya asili ya vile ulivyokuwa zamani kabla hujapelekwa mahali pa kukaa (mwili)
☝️☝️☝️
Ukifanya astral projection ukatoka nje ya mwili /gereza ndy siku utakuja kugundua wewe ni sehemu ya MUNGU (Kama yeye alivyosema na tumfanye mtu Kwa mfano wetu)
Nikuulize swali; watu wa babeli walipojenga mnara ili kumfikia MUNGU hata MUNGU akaona hawa watu wapo serious akaamua kuangusha mnara na kisha akawafanya wasielewane tena Kwa kuongea lugha tofauti tofauti,unadhani huo mnara ulikuwa mrefu kiasi gani Hadi MUNGU kupata hofu juu ya hao jamaa
Au kule kwenye mawingu yanakopita ndege ndy mbinguni ambako watu wa babeli walihenga mnara ili kumfikia MUNGU?
Kukujibu swali lako la 'jerusalemu mpya' biblia inasema hata hao watakaopewa kibali cha kuishi kwenye huo mji watapewa 'mwili mpya'..siyo mwili huu wa duniani ambao roho unaishi ndani yake..tafakari!!
Kwenye mji wa Jerusalem hapo tumepigwa...Achen masihala Wakuuu, Kwan maandiko yanasema je ?.
Maandiko yanasema, Mara baada ya ujio wapili wa Yesu
Waovu wakishatupwa ziwa la moto.
Mungu, atashuka na Mji wake Yerusalemi ya mbinguni, atashuka nao na kuuleta hapa Duniani.
Na kufanya makazi hapahapa pamoja na wale wateule, watakatifu ambapo wameishinda dhambi.
Hivo Mbinguni ni Mahali halisi kabisa 100%. Sio hali kwamba inafikirika.
Utakuwa ni mwili usiohisi maumivu,njaa,mateso..mwili wa utukufu,mwili uliookuwa upgraded wenye hadhi ya kuishi mbinguni,mwili wenye kufanana na malaikaHivi kwa mujibu wa aya yako ya mwisho na maelezo ya biblia kwa ujumla kama binadamu watapewa mwili mpya tofauti na wa awali watatambuanaje? Maana kila siku mmoja wetu anapotangulia mbele ya haki uwa tunafarijiana kwa kusema "tutaonana baadae" kumaanisha kuna siku tutakuja kuonana huko mbinguni.
Kwamba tutatambuana kwa vile tutakuwa na mwili usiohisi maumivu, njaa, mateso n.k.? Sijaelewa hapo kiongozi.Utakuwa ni mwili usiohisi maumivu,njaa,mateso..mwili wa utukufu,mwili uliookuwa upgraded wenye hadhi ya kuishi mbinguni,mwili wenye kufanana na malaika
Usisahau wanakamua hadi pombe sio ajabv alilewa anavyoropoka!Kwanza mapapa mwenyewe wanapewa vyeo hivyo wakati jua limezama kama miaka 8o au 87 akili zao zimeshachoka
HUWA SIKUPENDI!!!Nina imani kwa Mungu wangu isiyoyumbishwa na yeyoye awaye yote! Ninajua kwa hakika kwanini naamini juu ya uwepo wake! Nimaani katika utatu mtakatifu. Na ninaamini katika maisha mapya baada ya kifo
Habari ya huyu jamaa nimefukunyua kwenye source zote duniani sijaipata. Papa hawezi kusema maneno hayo halafu habari is trend achilia mbali kutochapishwa popote.Hajawahi kusema hivyo!! Tupe source!!..Na hata hiyo habari ya "there is no hell" hakusema hivyo Vatican ilitoa statement kwamba alinukuliwa vibaya nakumbuka ilikuwa around 2018 hivi