Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Wakati Yesu akiwa na siku chache toka afufuke na kurudi mbinguni kuketi mkono wa kuume wa Baba yake .
Wakati Yesu alituachia Sala yetu ya 'Baba yetu uishie Mahali pa juu mbinguni ".....
Kama kawaida , Leo Papa katoa Boko jingine, 2013 alidai hamna Jehanamu ( Kwa maono yake wadhambi tuendeleee kudhambika ).
Baadae akawashauri wasoamin uwepo wa Mungu "Humuhitaji Mungu kukuona Uzima "
Leo katika Intavyuu , kadai Hamna Paradiso, hamna Cha mbinguni , Kwa Lugha nyingine, nyie wafuasi wake mnaambiwa Hamna Mungu , ndiooo, Kama makazi ya Mungu hayapo, Mungu mwenyewe hayupo Sasa ??.
Duuhh!!!! Hakika Mtakatifu Yohana kwenye kitabu Cha Ufunuo, akimuelezea Mnyama ( Mpinga Kristo) alisema "Ana kinywa Cha mwanadam hata akanena Maneno ya kukufuru ......
View attachment 2196950
BERGOGLIO IN A INTERVIEW (ITALIAN)
"HEAVEN IS NOT A PHYSICAL PLACE, HEAVEN IS
HERE, IS A LIFE STYLE THAT MAKE ME
CONTEMPLATE OUR LADY, GOD AND THE
BELIEVERS"
THEN IN THE LAST SECOND HE SAYS
" BECAUSE GOD IS SICK."
Wakati Yesu alituachia Sala yetu ya 'Baba yetu uishie Mahali pa juu mbinguni ".....
Kama kawaida , Leo Papa katoa Boko jingine, 2013 alidai hamna Jehanamu ( Kwa maono yake wadhambi tuendeleee kudhambika ).
Baadae akawashauri wasoamin uwepo wa Mungu "Humuhitaji Mungu kukuona Uzima "
Leo katika Intavyuu , kadai Hamna Paradiso, hamna Cha mbinguni , Kwa Lugha nyingine, nyie wafuasi wake mnaambiwa Hamna Mungu , ndiooo, Kama makazi ya Mungu hayapo, Mungu mwenyewe hayupo Sasa ??.
Duuhh!!!! Hakika Mtakatifu Yohana kwenye kitabu Cha Ufunuo, akimuelezea Mnyama ( Mpinga Kristo) alisema "Ana kinywa Cha mwanadam hata akanena Maneno ya kukufuru ......
View attachment 2196950
BERGOGLIO IN A INTERVIEW (ITALIAN)
"HEAVEN IS NOT A PHYSICAL PLACE, HEAVEN IS
HERE, IS A LIFE STYLE THAT MAKE ME
CONTEMPLATE OUR LADY, GOD AND THE
BELIEVERS"
THEN IN THE LAST SECOND HE SAYS
" BECAUSE GOD IS SICK."