Ulikuwa hujui?papa ni mwanasiasa?
Ukiwemo wewe pia.Viongozi wa Afrika na raia wake wengi ni wajinga sana,ndio maana hili hutokea.
Taharuki sio tahaluki halafu umerudia mara mbili.Wanaogopa taharuki gani?
Mbona sisi wamekufa Mama zetu, Shangazi zetu, wajomba hatuna tahaluki.
Labda Mataga ndiyo huwa na tahaluki.
Mkuu umetumia neno aids imebidi nicheke.Miaka ileee utaskia yule ana "edisi"!😝😝😝😝😝😝Tena wakifa kwa corona au aids ndio kabisaaa usitegemee serikali ikuambie 😂😂 wewe endelea kujilinda tu kamanda
Mkuu ungeambatanisha na kale ka-video ingenoga sana!"mheshimiwa mungu.......mheshimiwa rais" by profesa majalala
Mkuu umetumia neno aids imebidi nicheke.Miaka ileee utaskia yule ana "edisi"!😝😝😝😝😝😝
papa kaumwa watu tunamuombea apone arudi kuwaongoza waumini....lkn kiongozi wa africa akiumwa watu tunaomba malaika mtoa roho afanye jambo lake...viongozi wa kiafrica wanajua hawapendwi sababu ya matendo yao ya hovyo dhidi ya raiaBBC wametangaza kuwa kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis anaumwa na amefanyiwa upasuaji, sijasikia taharuki.
Hapa nchini viongozi wetu huwa ni siri hasa awamu ya 5.
Kisa kuepusha taharuki.
Akifa hutangazwa, nini maana yake?
Mfichaficha maradhi anaogopa sindanoHapa nchini viongozi wetu huwa ni siri hasa awamu ya 5.
Kweli mkuu miafrika mingi ni ming'ombe kabisa tenaViongozi wa Afrika na raia wake wengi ni wajinga sana,ndio maana hili hutokea.
Balozi wa Papa ana hadhi sawa na mabaloz wengine.papa ni mwanasiasa?
Ukizingatia matibabu yalitumia kodi za wananchi vilevile alihitaji kuombewa na wananchi wakeJK wakati wake nakumbuka tulikhabarishwa kifupi huo ndio ubinadamu kuugua sio swala la aibu.
Nakumbuka JK kwa maneno yake alisema ...kwenye kikao cha Baraza la Mawaziri Mwendazake alipinga isitangazwe kuwa JK anaumwa na anatakiwa kwenda kutibiwaJK wakati wake nakumbuka tulikhabarishwa kifupi huo ndio ubinadamu kuugua sio swala la aibu.
Tudadavulie anasumbuliwa na nini hasa, huku kwetu nyambitilwa habari hii haijafika.....BBC wametangaza kuwa kiongozi mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis anaumwa na amefanyiwa upasuaji, sijasikia taharuki.
Hapa nchini viongozi wetu huwa ni siri hasa awamu ya 5.
Kisa kuepusha taharuki.
Akifa hutangazwa, nini maana yake?
SwadaktaUkizingatia matibabu yalitumia kodi za wananchi vilevile alihitaji kuombewa na wananchi wake