Ni wa wote ndio maana hualika hata wanasiasa, hutoa onyo na ushauri kwa wanasiasa/wasio wanasiasapapa ni mwanasiasa?
Wee nae umesoma kukomentipapa ni mwanasiasa?
Rais tena wa Vaticanpapa ni mwanasiasa?
Partly ni mwanasiasa sababu ukiacha yeye kuwa kiongozi wa kanisa la Roman pia ndio mkuu wa nchi ndani ya nchi inayoitwa Vatican ambayo Ina ubalozi pia kwenye mataifa mbalimbali.papa ni mwanasiasa?
Na waliogopa kutangaza mapema sababu sherehe ingeanza mapemaKwa mwana siasa dizaini ya magufuli mbona sherehe mingi tu akifa
Kama lililomuondoa shujaa wa kimataifa?Unataka tutangaze magonjwa ya aibu?
"mheshimiwa mungu.......mheshimiwa rais" by profesa majalalaViongozi wetu walikwishajifananisha na MUNGU hivyo kuonekana Wanaumwa Ni AIBU kwani MUNGU HAUMWI
😂😂😂😂😂😂😂😂Na waliogopa kutangaza mapema sababu sherehe ingeanza mapema
Una elimu ya level gani?papa ni mwanasiasa?