Doria Mtandaoni
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 361
- 746
Pondamali kufa kwaja.
Japo najua fika its all about chama cha majambazi lakini nimeshindwa kutengua hii cordKatika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu ya godoro
Britanicca
Chimbuko la ushawishi wa Kikwete linatokana na nini?KIKWETE ALIHAKIKISHA ANAMWEKA SAMIA,THEN ANAWEKA BUNGE LA SHEMEJI,MKWE,MJOMBA,BINAMU HUKU WATANZANIA WAKIENDELEA KUSHANGILIA SIMBA NA YANGA
Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu ya godoro
Britanicca
hapa ndo kuna swali la msingiChimbuko la ushawishi wa Kikwete linatokana na nini?
Chimbuko la ushawishi wa Kikwete linatokana na nini?
Natamani ungekuwa analytical zaidi. Yaani jibu ulilotoa lingeambatana na data.Ndo Rais mastaafu aliyekaa kwenye system mda mrefu sana una swali njingine?
Nitajenga hoja yangu juu ya hii yako kwa kuwa muwazi kabisa kila mtu ajue kinachozungumziwa.Panya ni viumbe waharibifu sana. Tunatakiwa kufuga paka wakali wa kuwadhibiti panya. Kuna panya hawategeki kwa mitego au sumu. Hawa ndiyo panya wabaya zaidi kwenye makazi yetu. Uharibifu wao siyo wa dunia hii.
Tanzania Ngumu Wahuni Wameshika Hatam
DuuuKIKWETE ALIHAKIKISHA ANAMWEKA SAMIA,THEN ANAWEKA BUNGE LA SHEMEJI,MKWE,MJOMBA,BINAMU HUKU WATANZANIA WAKIENDELEA KUSHANGILIA SIMBA NA YANGA
AiseeeNitajenga hoja yangu juu ya hii yako kwa kuwa muwazi kabisa kila mtu ajue kinachozungumziwa.
Tanzania tumevurugika; tumeingiliwa na sumu ya udini katika maisha yetu. Chini ya Samia kumeibuka makundi waziwazi yanayojishughulisha kuwagawa waTanzania kwa misingi ya dini zao.
Humu humu JF ukitaka, orodhesha wanaomtetea Samia, utakuta wengi ni wanaomtaka kwa dini yake na siyo kwa sifa ya uongozi wake.
BAKWATA wanakomaa na AMANI bila ya HAKI, siyo kwa sababu Samia anafanya vizuri sana kulinda amani kwa kufanya mema kwa waTanzania; bali wanatetea uwepo wake katika nafasi hiyo kwa kuwa hali hiyo inawanufaisha wao.
Kama si kigezo cha dini yake, wengi wanaotaka uwepo wa Samia kwenye uongozi ni sababu za kimaslahi binafsi, kama akina Kabuti Kalamagamba, Kitilya Mfumbo na wengine wa aina hiyo.
Nje ya vigezo hivyo viwili, Samia anakaa madarakani kiharamu, kwa sababu kawanunua kwa pesa viongozi wa taasisi mbalimbali ili wamlinde katika uhalifu wake.
Nje ya haya matatu, Samia asingekuwepo kwenye nafasi asiyostahili kuwepo tokea mwanzo.
Nusu ya deni la taifa limetokana na yeye 🥺👀😩Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu ya godoro
Britanicca
Wametekwa na lile kundi la Muajemi na Ayatollah wa MSg a.k.a Jeffery ApsenHalafu anaweza akatokeza akakwambia Kuna walinzi wa godoro wanaitwa twisha na jewewe tu. Thubutu.. Godoro halina mlinzi yeyote
Mjomba Kipepe, unataka kusema huwafahamu panya na uharibifu wao hapo nyumbani kwako!Leo nimetoka patupu