Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

Kwa jinsi reply zilivyo chache naona kabisa jinsi wachangiaji tunavyoogopa
 
Mabilioni yanatafunwa kwenye ujenzi wa viwanja vya mpira AFCON.
Hata ripoti ya CAG tumeona kufuru ya ufisadi mkubwa haijawahi kutokea
 
Hivi PM anangoja nini ofisini. Haoni aibu!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom