Panya Road wavamia Chamazi

Panya Road wavamia Chamazi

Umeshajiuliza kwa nini panya road hawako Masaki, Mikocheni, Mbezi Beach, Oyster Bay,Upanga?
ni kwa sababu wadosi wanaoishi maeneo hayo wanazo silaha kali za kujilinda na pia wanalindwa na polisi 24 hrs.
 
Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia nilizopenyezewa na raia wema ni kwamba genge hatarishi la Panya Road limefanya uhalifu usiku huu katika maeneo ya Chamazi (Jimbo la Mbagala) na sasa wamekusanyika karibu na eneo la chuo cha afya cha Muhimbili lililopo Chamazi, wakilenga kuendelea na uhalifu wao kama kawaida. Hivi sasa wananchi wako roho juu wakihimizana kufunga milango ya nyumba zao na kuepuka kutoka nje ili kujilinda na uhalifu wa genge hili la kimafia linalozidi kutikisa jiji la Dar es Salaam siku hadi siku.

Nimeuweka uzi huu hapa kwa makusudi. Panya Road wametufikisha hapa baada ya kushindwa kudhibitiwa kikamilifu na vyombo vya ulinzi.

Tutapeana taarifa baadaye kadri ninavyozipata kutoka eneo la tukio. Wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kufuatia kundi hili linalojibadilisha kila kukicha kutoka genge la wahalifu na kuwa kundi la kigaidi. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwalinda raia na mali zao na ikibidi wananchi wamilikishwe silaha nzito kwa ajili ya kujilinda wao wenyewe na mali zao. Kuna haja ya kuanzisha mafunzo ya lazima ya kijeshi kwa wananchi ili kuwajengea uwezo wa kujilinda.
majeruhi%20issa%20joseph.jpg
Toa taarifa polisi maana humu jf siyo mahali sahihi unless una jambo lako umetumwa kupost.
 
mkuu, lakini nadhani pia tangu polisi walipoacha kukaa vituoni usiku kundi hili limepata kasi ya kuendelea kuwatesa raia na kuwanyima raha kabisa. serikali inapaswa kufikiria upya uamuzi wake wa kufunga vituo ili polisi wachache waliopo washirikiane na wananchi kutokomeza kundi hili la kigaidi.
Hivi kwanini polisi aogope kukaaa usiku...wanatutia mashaka...kazi yao ni nini...kulinda usalama...ina maana usalama ni mchana tu...wakeshe makazin...mbona mahospitalin wanakesha wao walopewa mafunzo wanakimbia sisi tusiojua lolote tusaidiwaje..
 
Si tuliona jeshi la polisi likifanya mazoezi na kutangaza kuwa wako imara kupambana na uharifu wa aina yo yote. Mbona kama vile panya road wanawashinda kete.
Police wake up, these hooligans are gaining ground.
ile nguvu kubwa ni kwa ajili ya kudhibiti upinzani tu. nchi zetu hizi pamoja na kuwa upinzani upo kisheria lakini ndio kosa kubwa sana kuwa mpiinzani, utadhibitiwa kwa nguvu zote.Hao vibaka wa mitaani hawawanyimi usingizi watawala ukizingatia kwamba kwa upande wao hawana madhara yoyote
 
Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia nilizopenyezewa na raia wema ni kwamba genge hatarishi la Panya Road limefanya uhalifu usiku huu katika maeneo ya Chamazi (Jimbo la Mbagala) na sasa wamekusanyika karibu na eneo la chuo cha afya cha Muhimbili lililopo Chamazi, wakilenga kuendelea na uhalifu wao kama kawaida. Hivi sasa wananchi wako roho juu wakihimizana kufunga milango ya nyumba zao na kuepuka kutoka nje ili kujilinda na uhalifu wa genge hili la kimafia linalozidi kutikisa jiji la Dar es Salaam siku hadi siku.

Nimeuweka uzi huu hapa kwa makusudi. Panya Road wametufikisha hapa baada ya kushindwa kudhibitiwa kikamilifu na vyombo vya ulinzi.

Tutapeana taarifa baadaye kadri ninavyozipata kutoka eneo la tukio. Wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kufuatia kundi hili linalojibadilisha kila kukicha kutoka genge la wahalifu na kuwa kundi la kigaidi. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwalinda raia na mali zao na ikibidi wananchi wamilikishwe silaha nzito kwa ajili ya kujilinda wao wenyewe na mali zao. Kuna haja ya kuanzisha mafunzo ya lazima ya kijeshi kwa wananchi ili kuwajengea uwezo wa kujilinda.
majeruhi%20issa%20joseph.jpg
Polisi wanahangaika na CHADEMA !
 
Kwa mujibu wa taarifa za kiintelijensia nilizopenyezewa na raia wema ni kwamba genge hatarishi la Panya Road limefanya uhalifu usiku huu katika maeneo ya Chamazi (Jimbo la Mbagala) na sasa wamekusanyika karibu na eneo la chuo cha afya cha Muhimbili lililopo Chamazi, wakilenga kuendelea na uhalifu wao kama kawaida. Hivi sasa wananchi wako roho juu wakihimizana kufunga milango ya nyumba zao na kuepuka kutoka nje ili kujilinda na uhalifu wa genge hili la kimafia linalozidi kutikisa jiji la Dar es Salaam siku hadi siku.

Nimeuweka uzi huu hapa kwa makusudi. Panya Road wametufikisha hapa baada ya kushindwa kudhibitiwa kikamilifu na vyombo vya ulinzi.

Tutapeana taarifa baadaye kadri ninavyozipata kutoka eneo la tukio. Wananchi wanaishi kwa hofu kubwa kufuatia kundi hili linalojibadilisha kila kukicha kutoka genge la wahalifu na kuwa kundi la kigaidi. Serikali inapaswa kuchukua hatua kuwalinda raia na mali zao na ikibidi wananchi wamilikishwe silaha nzito kwa ajili ya kujilinda wao wenyewe na mali zao. Kuna haja ya kuanzisha mafunzo ya lazima ya kijeshi kwa wananchi ili kuwajengea uwezo wa kujilinda.
majeruhi%20issa%20joseph.jpg
Mjeshimiwa nchemba kweli na umakini wako eshkndwa kuthibiti hawa watoto ambao hata kushka bunduki hawajui.. tafadhal mkuu wananchi wanapata shida sababu ya hawa panya road, mimi nakuamn sana mheshimiwa kwa namna unavojituma, komesha hili genge linalojiita panya road
 
Huwa najiuliza na kukosa majibu, iweje kwenye kibao cha 50kph vijijini kinalindwa na askari zaidi ya watano huku wakiwa na mafunzo hayo hayo ya kuzuia uhalifu?? Hivi kweli kuna umuhimu wa kuweka askari wote hawa barabarani huku watu wakiibiwa na kuuwawa?
 
Back
Top Bottom