Panapofuka moshi panaficha moto...

Moto uko nahisi ni moto wa tofauti za vyama, moto wa tofauti za udini, ni moto ya tofauti ya uongozi wa sasa, moto wa tofauti ya kikabila na moto wa tofauti za ukanda
 
Usalama wa siieijii Uko hatarini mbaya zaidi hawezi kuchomoka kwasababu yuko chini ya himaya yao
 
Colombia Colombia Colombia Colombia colombia music ooooooooo
music oooooooooo x 4
Colombia Colombia Colombia Colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia colombia 🎶
 
Kwa mara ya kwanza leo nimekupa like. Taratibu tunaanza kuongea lugha moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Moshi. Hakuna moto.

Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.

Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.

View attachment 995933
Na hilo ndiyo tatizo kubwa la waTz, asilimia kubwa ya watu wako gizani kwa mambo mengi sana. Hata kukiwa na moto, watakaouona ni wachache na hata wale wachache watakaouona, bado ni wachache pia watakua concerned. Ni raha sana kuongoza watu wa aina hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ndo unawaka zaidi.nasikia Mr speaker kakataza bunge lisifanye kazi na mkaguzi wa mahesabu ya serikali.
 
Una dodosa vyema,nasita kuchangia kwani bandiko lako laweza pelekwa pasipo julikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…