Wandugu wapenzi, ebu naommba mwongozo, nimpe ushauri gani huyu baba aliyeko ndani ya maji akiwavuta hao farasi anaonekana kuchanganyikiwa maana Panapofuka Moshi panaficha Moto; ajira yake hii ilimtia majaribuni na mafadhaiko makubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.