Pamoja na ujio wa Dotto Biteko Makali ya Mgao wa Umeme Yameongezeka

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,300
Makamba alitolewa Tanesco kupunguza makelele tu. Ila kiuhalisia sasa hivi mgao wa umeme ni mkali kupita kiasi..

Swali linabaki pale pale bwana yule aliwezaje kutuepusha na hii dhahama...Samia is a failure.
Nawashangaa sana wanaowaza kumwongezea muda.
Screenshot_20231028-174741.jpg
 
Back
Top Bottom