mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,349
Ivi kwanini inatumika nguvu kubwa kutuaminisha umma wa watanzania kuwa mwendazake ni shujaa sio alichofanya kikubwa zaidi ya mikwara na vitisho ambalo limetengeneza tabaka la walamba miguu, wanafiki na wanaojipendekeza