Pamoja AFCON 2027: Tanzania vs Kenya vs Uganda

Pamoja AFCON 2027: Tanzania vs Kenya vs Uganda

Ufunguzi na ufungaji unazingatia mambo mengi sio tu uwanja ndugu, infrastructure (transport and communication facilities), hospitality, peace, etc. Sasa jamaa zetu wanafeli hapo tu, na ukizingatia Pamoja Afcon itachezwa mwaka wa uchaguzi huko kwao.
Kwa hizo vitu zote umetaja, Tanzania inaizidi Kenya kwa lipi?
 
hebu tuonyeshe BRT yenyu!
So that is the reason? Hii brt watu wamefinyika kama gunia za mahindi ama kuna brt nyingine?
20250523_202610.jpg
 
Back
Top Bottom