Poloni sana Paloma[MENTION]Sosoliso[/MENTION] na wanafamilia wengine kwa msiba huo wa mama mama mkubwa, Mwenyezi aendelee kuwapa faraja yake katika kipindi hiki kigumu na cha mpito.
Kaizer huku kwetu TANGA ndo wanasema hivyo, hawasemi kufiwa wanasema kufiliwa.....poleni sana Paloma na sosoliso Mungu awafanyie wepesi wa mioyo kuukabili wakati mgumu.
Paloma amepata msiba wa mama yake mkubwa.. Amefariki ghafla leo alfajir kwa high BPi.. Mazishi ni kesho Lushoto..
Mungu ailaze roho ya marehem peponi..
Pole sana Paloma..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.