Paloma afiwa na mama yake mkubwa...

Paloma afiwa na mama yake mkubwa...

Pole Paloma, poleni wafiwa!

Asante Izz

sosoliso 18:38 Today Paloma amepata msiba wa mama yake
mkubwa.. Amefariki ghafla leo alfajir
kwa high BPi.. Mazishi ni kesho
Lushoto..
Mungu ailaze roho ya marehem
peponi.. Pole sana Paloma.. a
SINA HAKIKA KAMA SIJASOMA VIZURI HEADING

Amen! Asante Rjohn

Pole sana palomo. Msiba upo lushoto sehemu gani? sosoliso plz nitumie namba yako au ya mkeo ili niende msibani hapo kesho.
YNNAH asante mpenzi! asante sana kwa utayari wako na Mwenyezi Mungu akubariki sana!

RIP

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

amen! asante mwekundu

Hiyo heading imekaa ki liberali.


Poleni sana Wafiwa.
Mzee kiswahili kigumu nacho acha tu...............asante sana!

Niungane nawe my wife kumpa POLE Paloma. Niwakilishe dia!

asante sana kwako na kwa mkeo! nawapenda sana! YNNAH and Judgement
 
Last edited by a moderator:
Asanteni sana wapendwa wangu kwa faraja mlonipatia! Mwenzenu spana-mkononi , manake mshtuko nilioupata uliharibu mambo ..... manake :Cry:kidogo tuu mambo yanaharibika! ikawa sina budi kutulia azawaizi..........

nashukuru sana irene mtengo Husninyo Excellent Kijino @cshocs Kipipi kisweets Slave jamani bado tu hujawa slame master?!? Elli mpwa we ulikuwa hujui kuwa tu ndugu... Arushaone ladydoctor mimisa kabanga missjr ndetichia Rich woman asante kipenzy..... zubedayo_mchuzi Evelyn Salt.......... Mwita Maranya lady furahia mwenzio sauti imekauka............ Mtoto halali na hela, banana boy Bishanga asante mwaya, na wengineo sijui mnisamehe kama sijawataja!

Ila walioenda wamerudi salama licha ya kupata matatizo kidogo njiani!

Nawashukuruni sana na Mwenyezi Mungu, wa kweli, mwingi wa neema na rehema, awamiminie mema!

Be blessed!
I am!
Paloma
 
Last edited by a moderator:
pole sana sana

Nashukuru.....lorry lako la kabeji limeteleza na kuanguka na kuziba njia mpwa Elli, watu ndo wanaingia majumbani now!
Dereva wako mlevi jamani asubuhi tuuu bwii!!! mpwaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana niliskia pia, si ni hapo karibia na Lukozi kwenye Kabeji? Poleni sana niliskia Mvua ni kubwa sana, nimetuma mjumbe huko
Nashukuru.....lorry lako la kabeji limeteleza na kuanguka na kuziba njia mpwa Elli, watu ndo wanaingia majumbani now!
Dereva wako mlevi jamani asubuhi tuuu bwii!!! mpwaaaaa
 
Pole sana Paloma.

Mungu ampumzishe kwa amani mama yetu
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Paloma. Mungu ampumzishe kwa amani mama yetu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom