Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,635
Daaah mpaka nimefikiria kuongeza watoto aiseeTena wanakuchekea
Daaah mpaka nimefikiria kuongeza watoto aiseeTena wanakuchekea
Yaani hapa ndipo nnapokosa mzuka wa kuwa na kidi aisee
Huo ni mtazamo wako mkuuKwa mama na baba hii kitu ni furaha sana kwetu ila kwa watoto wenzao wanaona kero.
orphanage zimejaa na watoto.. Kawasaidie..Natamani mtoto/watoto
Napenda nimkute kafanya hayo mno ndo raha ya mtoto ndaniYaani hapa ndipo nnapokosa mzuka wa kuwa na kidi aisee
Red handed wilth evidence complete. No need for forensics.Halafu ajabu unawakuta hapo hapo kwenye crime scene
Sawa mkuu, that's the beauty of lifeNapenda nimkute kafanya hayo mno ndo raha ya mtoto ndani
Kilitokea niniMmekumbuka kido flani alimix asali lita 5 na soap kikatoka kitu amazing. Ki2 cha tabora chote kwishiney.
[emoji23][emoji23][emoji23]Haaa haaaa haaa wa kwangu, nilijitutumua nikanunua TV flat screen size 43 Inch, narudi toka job nakuta amepasusua na nyundo TV ikiwa na miezi 3 niliishia kushika kiuno huku yeye ananikimbilia kuniwawooo, kwakweli alichonifanyia Mungu anamuona!
Watoto wana mambo mengi mazuri,kuliko hayo machache!!Yaani hapa ndipo nnapokosa mzuka wa kuwa na kidi aisee
Ni kweli mkuu, ila kikubwa ni kuwa na muda wa kutosha kwa ajili ya kukaa nao pindi wanapozaliwa hadi wanapoanza maisha ya shuleWatoto wana mambo mengi mazuri,kuliko hayo machache!!