Mpaka sasa ubao unasoma 2 kwa 2...Man u 2-0 Hoves dakika ya 22 hii mechi man U atapoteza tu
Sawa mkuu, hata sisi tunaona man U anaua huku 😂Kama kawaida yao. Wamekutana na wanyonge. Chuma mbili ndani ya dakika 10.
Dogo Semenya wa ukaldayo Barca inafanya mauaji dhidi ya racing santander ni half time tayari chuma nne ,lamine lazima afunge 2nd half.
Haya mambo yaonage tu kwa mwenzako
Hawa madogo janja tutawapiga 7.Dogo Semenya wa ukaldayo Barca inafanya mauaji dhidi ya racing santander ni half time tayari chuma nne ,lamine lazima afunge 2nd half.