Itakuwa wanajishtukia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanatiaga hasira ila Cha kuwafanya huna.
Jana wengine wamemwaga mafuta yangu mapya wamesambaza sebule nzima,mengine wamejipakapaka.
Muda huo Mimi nipo kupika.
Yaani nimekosa Cha kuwafanya[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16],mafuta nmenunua mchana dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ukiona mtoto huko aliko ametulia kimya ujue Kuna kitu anaharibu,hawajawahigi tulia bila kuharibu kitu.
Yeah walikuwa wa kienyejiKuku gani? Wa kienyeji?
Mimi nainjoi sana vituko vya hawa watu. Yaani akili zao zinaonaga ní poa tu.Yaani hapa ndipo nnapokosa mzuka wa kuwa na kidi aisee
Ni watoto [emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa wanajishtukia.
Dhamiri zinafanya kazi
Sasa utamkanya mtoto wa mwaka mmoja atakuelewa?Kwa komenti nyingi nilizosoma hakika wazazi tunaandaa kizazi cha hovyo pasipo kujua,hivi unafurahia mtoto kufanya uharibifu???
Mtoto akanywe kufanya uharibifu,utundu wake uwe na mipaka wanangu ni watundu lakini hawajawahi kunitia hasara kubwa,na wala sijawahi kuwafurahia wafanyapo uharibifu.