Pale unapofunga ndoa na mwanamke wa kinyakyusa....!!!

Pale unapofunga ndoa na mwanamke wa kinyakyusa....!!!

Haswaaa naona mkono wa kuchimba viaz kabisa huo huyo dada ndio wale wauza viaz pale mwanjelwa
Mbeya haina wanyakyusa pekee(isije ikawa umewaona wasafwa,wanyiha ,wamalila nk ukadhani ni wanyakyusa ),pia kyl na tky ambako ndio wilaya hasa za wanyakyusa hawalimi viazi
 
Huyo bwana atakuwa wa dar,alafu mwanamke atakuwa wa undali-Ileje

from Katesh using Siemens C55
 
Mbeya haina wanyakyusa pekee(isije ikawa umewaona wasafwa,wanyiha ,wamalila nk ukadhani ni wanyakyusa ),pia kyl na tky ambako ndio wilaya hasa za wanyakyusa hawalimi viazi
Tukuyu ni wilaya?
 
Sio hivyo tuu mkuu na wakishashiba wanausumbufu sana
Loba+Anase+20170822_192129.jpeg
[emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom