Spalulu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 284
- 146
Uli nu lwesye ugwe, aakukomigwa!!!
Uli nu lwesye ugwe, aakukomigwa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haswaaa naona mkono wa kuchimba viaz kabisa huo huyo dada ndio wale wauza viaz pale mwanjelwa
Hahahhha [emoji23][emoji23][emoji23] apigwe tu hakuna namna....Uli nu lwesye ugwe, aakukomigwa!!!
Yeah serious mkuu, jaribu kupekua kwenye threads za nyuma utakutana na hiyo habariAre you serious? Mtoto wa miaka kumi alifungaje ndoa?
[emoji15]
tatizo sio weusi hapo mkuu ni MAKUNYANZI NA MASUGU YA MIKONONITuipende ngozi yetu ya asili wapendwa! Kuwa mweusi sio kosa wala dhambi.
enewei, bibi harusi kapendeza haswaa hiyo rangi ya kucha imepakwa kwa umaridadi wa hali juu
Harusi hoyeeeee
bibi harusi hoyeee
Mnatuonea gere tu[emoji15]
CantstopwontStop
Haswaaa naona mkono wa kuchimba viaz kabisa huo huyo dada ndio wale wauza viaz pale mwanjelwa
I appreciate you siwezi fanya hivyoMnatuonea gere tu
[emoji108] [emoji108] [emoji108]I appreciate you siwezi fanya hivyo
CantstopwontStop
Meaning what???[emoji108] [emoji108] [emoji108]
Accepting your appreciationMeaning what???
CantstopwontStop
Sikuoni kule twitterAccepting your appreciation
Yani leo niko busy sitaki hata kwenda kuleSikuoni kule twitter
CantstopwontStop
Pole na Majukumu.Yani leo niko busy sitaki hata kwenda kule