Sio kweli.. we tuombe uone itakuwa vpKuomba direct nayo ni ajabu
Mbona tendo la hela mnaomba direct bila aibu?Kuomba direct nayo ni ajabu
MIMI nimeshawahi kukuomba hela?Mbona tendo la hela mnaomba direct bila aibu?
Sio kweli.. we tuombe uone itakuwa vp
Tumebadilika kidogo
Kuuza hisia kwa mtu anayetumia maumbile kama mboko haivutii tena.!
Me napendaga sana nikichapa mtu ananiangilia kwa macho huku anataka nimchape zaidi.!
Ile greedy yakusema ichape unavyotaka kama yako..! inaharibu utimamu wangu.! 🤗
We ni malkia wa hii sheria.!Watakuelewa watakaoweza kuomba
Daah!
This is greedy. 😃
We ni malkia wa hii sheria.!
Tena Unatupa watoto hii kitu.! 🤭
Wacha kujighairi
Yu meant to flowlessibAseee mbona hizi comments sijaelewa kitu
Unataka kusema nini??Kwa aina ya vijana wa kiume wa kileo hakika wanawake mna kazi kubwa sana.Ninyi zubaeni tu mjidai mna maadili na aibu mlale na viatu vichafu.Msipoomba moja kwa moja,basi tumieni mbinu za kimikakati mpate mambo.Vijana wa kileo hawajali wala hawana habari msipokuwa makini.
Gen Zee ni wazembe.Wanapenda tafrija na mambo yote ya ubugiaji wa bata kuliko kutimiza majukumu yao ya lazima.Unataka kusema nini??
Lakini bata ni Pa1 na hilo la Kuzagamuana. [emoji23][emoji23][emoji23]Gen Zee ni wazembe.Wanapenda tafrija na mambo yote ya ubugiaji wa bata kuliko kutimiza majukumu yao ya lazima.
Msingekuwa na malalamiko chungu tele hadi kuwarudia millennials na vibabu wengine.Gen Zee mmebakiwa nao kwa ajili ya kupata nao selfies.Lakini bata ni Pa1 na hilo la Kuzagamuana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nimechukulia utani tu.Aseee mbona hizi comments sijaelewa kitu