Pale mipango inapofeli!!!!!!!!

Pale mipango inapofeli!!!!!!!!

Haaaaahaaaaaahaaaaa wewe banah ndo maana nilikuwa nimemiss vituko vyako si tunakua banah.nzuri mbaya avatar yangu mpya ninong'oneze wengine wasisikie.
Umeona kale katoto kana kukosesha ulaji nini?
 
Haaaaaahaaaaaahaaaaa mkuu saudari nisamehe banah nimepitiwa tu si unajua tena afu ukute aliyenipitia ni huyohuyo shetani,dahhh shetani huyu mbaya ila basi.

Ulijidai hupendi mambo ya kishetani, sasa umejiumbua mwenyewe.
Mkuu grafani11 mwambie Blue G ajue,si amepitiwa na shetani.
 
Last edited by a moderator:
Daaahhh mkuu saudari so kuniaibisha mwenzio mbele za watu huko!!!!!!nina imani wengine hawajaona so sina wasiwasi sana.


Hahahaaaaaaaa!!!! Ngoja nikailete na huku sasa, tena naibold.
 
Khaaaaaa inaonekana we ulipokuwa mtoto ulikuwa mkorofi sana saudari mi sichezi na wewe ndo nishakugaya hivyo,huniwekei bold nicheze na wewe au unaniwekea nikugaye eehhh sema basi?
Hahahaaaaaaaa!!!! Ngoja nikailete na huku sasa, tena naibold.
 
Last edited by a moderator:
Khaaaaaa inaonekana we ulipokuwa mtoto ulikuwa mkorofi sana saudari mi sichezi na wewe ndo nishakugaya hivyo,huniwekei bold nicheze na wewe au unaniwekea nikugaye eehhh sema basi?

Aya mwaya nakuekea ka bold kadogo ili tusifute urafiki.
 
ha ha!! umefundishwa comedy na Boflo maana ndiye aliyeanzisha nyuzi za type hii
 
Last edited by a moderator:
saudari njoo tucheze gombania goli sijakugaya tena mama akininunulia pipi nitakupa sawa eehhhhh.haaahaahaa daaaahhhh jamani utoto raha wangekuwa wanarudi na mie nigerudi jamani.
Aya mwaya nakuekea ka bold kadogo ili tusifute urafiki.
 
Last edited by a moderator:
saudari njoo tucheze gombania goli sijakugaya tena mama akininunulia pipi nitakupa sawa eehhhhh.haaahaahaa daaaahhhh jamani utoto raha wangekuwa wanarudi na mie nigerudi jamani.

Sitaki wewe utanigaya bure, mi naangalia zangu huku.

gombania.jpg
 
hahahaha pole yake, maana ingetiki.............
 
Back
Top Bottom