Swali fikirishi.Kama Mungu tayari ana mipango yake juu ya maisha yako na mipango yake iko sahihi kwa sababu Mungu muweza wa yote hajawahi kukosea, kwa nini sasa unasali? Kwa nini unafanya maombi?
Unajaribu kubadilisha mipango ya Mungu? Shame on you
Kumbe. Mi nilidhani ni spiritual connection kati ya binadamu na Mungu, ili Mungu awatimizie maombi yaokwanza sala ni kama meditation, sasa kwa nini watu wanafanya meditation? imekuwa proven kisayansi kabisa kwamba meditation inasadia kiafya, hivyo hiyo pia ni moja kati ya sababu za kusali, sala sawa na mediation, ina the same effect and meaning ...
Kumbe. Mi nilidhani ni spiritual connection kati ya binadamu na Mungu, ili Mungu awatimizie maombi yao
Kama wanafanya kiafya hapo ni sawa
Sio kweli kama wanafanya hivyo kiafya. Ulichotaja wewe ni faida yake tu ambao hiyo faida hata sio lengo kuu la watu wanaosalindiyo hiyo maana yake, haya mambo yako deeper klk mnavyoyachukulia ...
Umeeleza vizuri, hapo nimeelewaSwali fikirishi.
Kusali ni njia ya kuambatana na yale ambayo Mungu amepanga. Unaweza ukapishana na mpango wa Mungu kama utatembea nje ya kusudi lake, hivyo sala inakusaidia kubaki katika njia sahihi.
Unaweza kuuliza . Je Kama Mungu ameshaona kuwa hata ukisali bado huko mbelen utateleza . Je kwanini tunasali?.
Mungu ana mipango yake na ww. Na yeye ndio anajua. Kwahiyo Ni fumbo.
Hivyo ni bora kusali . Na kumuachia Mungu hayo mengine ili mapenz yake yatimizwe hapa duniani na huko mbinguni.
Sio kweli kama wanafanya hivyo kiafya. Ulichotaja wewe no faida yake tu ambao hiyo faida hata sio lengo kuu la watu wanaosali
Kwanza ukiwaambia watu wa dini kuwa wanasali kwa ajili ya some mental health, inasaidi kutuliza ubongo wao wataona unaongea vitu disrespectful
Usiposali kuna uwezekano ule mpango uliopangiwa na Mungu usitimie?Swali fikirishi.
Kusali ni njia ya kuambatana na yale ambayo Mungu amepanga. Unaweza ukapishana na mpango wa Mungu kama utatembea nje ya kusudi lake, hivyo sala inakusaidia kubaki katika njia sahihi.
Unaweza kuuliza . Je Kama Mungu ameshaona kuwa hata ukisali bado huko mbelen utateleza . Je kwanini tunasali?.
Mungu ana mipango yake na ww. Na yeye ndio anajua. Kwahiyo Ni fumbo.
Hivyo ni bora kusali . Na kumuachia Mungu hayo mengine ili mapenz yake yatimizwe hapa duniani na huko mbinguni.
Sasa umehamia kwenye hisia zaidi kuliko madadude, binadamu amekuwa akisali kuanzia siku ya kwanza alipo-exist hapa duniani, na amepitia mengi sana yaliyo challenge umuhimu wa sala kama wewe unavyouliza hapa leo hii lkn bado mabilioni ya watu duniani wasali kwa namna moja au nyingine wote siyo wajinga, kama wewe unashindwa kuelewa maana yake haimanishi kwamba haina maana na wote ni wajinga kwamba wameshindwa kujua kitu simple kama hicho ambacho wewe umekiandika leo ...
Hivi huwa unanotice vipi hizi mada unafika on time🤭Prayer is like a pump in an empty well it makes lots of noise but brings no water.
Prayer is like masturbation. It feels good to the person doing it, but does nothing for the person they are thinking about.
Prayer is nothing.
Prayer is an illusion.
God does not exist.
Mungu hayupo.
Sala haina mchango wowote wala msaada wowote kwenye maisha ya binadamu yeyote yule.
Kwa nini tunasali?
kusali au kuswali ni kuwa karibu na Mungu, kuwasiliana na Mungu
Huyo Mungu hajui mahitaji yako hadi umsalie?Yaliyomo ktk sala ni pamoja na kumtukuza, toba, maombi ya mahitaji fulani na shukrani kwake Mungu
umuhimu wa kusali au kuswali?
ni kuwa mbali na maovu, matatizo, uchawi, shetani na wafuasi wake
kumbuka wateule au watakatifu wanaonekana kwa matendo yao, tabia zao na misimamo yao hao wapo mbali na maovu na dhambi