Serikali itoe ufafanuzi: Makamu wa Rais ni Msaliti na anakwamisha Maendeleo na Mipango Serikali ya Samia?

Serikali itoe ufafanuzi: Makamu wa Rais ni Msaliti na anakwamisha Maendeleo na Mipango Serikali ya Samia?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
8,922
Reaction score
21,413
Guys
Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat.

Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa nini mipango inakwama kisa Nchimbi na nchimbi abaki ofisini?

Ndugu zangu hadi mbunge wa CCM anajitokeza hadharani na kusema hivyo mjue kuna mengi.mazito yanaendelea huko ndani na mtaelewa kwa nini mpango alijiuzuluwa
 
Watoto wa kambo Huwa hawataki chumvi izidi au ipungue kwenye chakula. Ikitokea hivyo Huwa wanamwaga chakula, kususa, kununa kwenda kwa waganga, kulialia kwa wajomba zao na kufanya fitina kwa wazawa.


ELEWA NENO KAMBO
 
Guys
Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat.

Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa nini mipango inakwama kisa Nchimbi na nchimbi abaki ofisini?

Ndugu zangu hadi mbunge wa CCM anajitokeza hadharani na kusema hivyo mjue kuna mengi.mazito yanaendelea huko ndani na mtaelewa kwa nini mpango alijiuzuluwa
nonsense 🐒
 
Kwa kuwa tuna rais wa hovyo hatachukua hatua yeyote.kwa rais mwenye akili timamu lazima huyu mbunge maandazi kutoma.zanzibar angemwajibisha kwa utovu wa nidhamu.
Hii kauli ikipita hivi hivi ndo tutajua mbivu na mbichi na mambo yote yatakuwa hadharani
 
Guys
Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat.

Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa nini mipango inakwama kisa Nchimbi na nchimbi abaki ofisini?

Ndugu zangu hadi mbunge wa CCM anajitokeza hadharani na kusema hivyo mjue kuna mengi.mazito yanaendelea huko ndani na mtaelewa kwa nini mpango alijiuzuluwa
Basi mshatengenezewa agenda.
Sasa hv mko busy na ziara ya Samia na huku kuna issue ya Yuda. Mnademka tu na issues za CCM
 
Kwa kuwa tuna rais wa hovyo hatachukua hatua yeyote.kwa rais mwenye akili timamu lazima huyu mbunge maandazi kutoma.zanzibar angemwajibisha kwa utovu wa nidhamu.
Hata ww ni wa hovyo maana hujui sheria za nchi yako.
Kisheria rais hana nguvu yeyote ya kumuwajobisha mbunge bali spika ndo mwenye uwezo wa kumuwajibisha.
 
Huyo mbunge analeta tarabu bungeni na kuongea kwa mafumbo,angetaja jina halisi la anayemwita Yuda na athibitishe hizo tuhuma anazomtuhumu.
Kiti cha spika nacho ni dhaifu,angeambiwa athibitishe
Kiti cha spika nacho ni dhaifu,angeambiwa athibitishe.
 
Hata ww ni wa hovyo maana hujui sheria za nchi yako.
Kisheria rais hana nguvu yeyote ya kumuwajobisha mbunge bali spika ndo mwenye uwezo wa kumuwajibisha.
Huyo siyo mbunge wa wananchi bali ni mbunge wa sa100 maana alimchagua yeye kutokana na sheria za kihuni ambazo hupitishwa na wabunge wa namna sa100 anaowachagua.
 
Guys
Huko ndani kuna moto unawaka hatari akina Rachel.dangwa wakisema mnaqaita wanaharakat.

Shutuma iliyotolewa na mbunge siyo ya kubezwa na ni hatari sana. sisi kama raia tunataka ufafanuzi kwa nini mipango inakwama kisa Nchimbi na nchimbi abaki ofisini?

Ndugu zangu hadi mbunge wa CCM anajitokeza hadharani na kusema hivyo mjue kuna mengi.mazito yanaendelea huko ndani na mtaelewa kwa nini mpango alijiuzuluwa
It's a beautiful laughter, after all!Muwaache watwangane vivyo hivyo ila tusisahau mauaji ya tarehe 29Okt-03 Nov,2025 na utekaji unaoendelea iwe kama their last nail onto their well decorated caskets.
 
Hawa wanajuana kama vipi wauane kabisa sisi wa humu tuendelee kuchochea moto uwake hadi yabaki majivu na wenzetu walioko front kazi iendelee Katiba Mpya Free Tundu Lissu inapamba moto leo Kilwa msemo ni Katiba mya tu hadi kieleweke
 
Back
Top Bottom